UramboTabora Member Joined Sep 11, 2008 Posts 49 Reaction score 2 Aug 25, 2009 #21 gkundi said: Makamba kasema hiviiii! CHAMA NI CHETU, SERIKALI NI YETU, BUNGE LETU, NA SPIKA NI WETU. Bandugu, huyu mzee ana-akili timamu? Click to expand... GKUNDI Tunaomba source ya hii habari maana naona imeanza kujadiliwa bila kujua source yake.Hebu weka mezani ili tuchambue kiundani inabidi tujue alikua anaongea na nani ?
gkundi said: Makamba kasema hiviiii! CHAMA NI CHETU, SERIKALI NI YETU, BUNGE LETU, NA SPIKA NI WETU. Bandugu, huyu mzee ana-akili timamu? Click to expand... GKUNDI Tunaomba source ya hii habari maana naona imeanza kujadiliwa bila kujua source yake.Hebu weka mezani ili tuchambue kiundani inabidi tujue alikua anaongea na nani ?