Chama ni chetu, serikali ni yetu, bunge letu, na spika ni wetu

Makamba kasema hiviiii!

CHAMA NI CHETU, SERIKALI NI YETU, BUNGE LETU, NA SPIKA NI WETU.

Bandugu, huyu mzee ana-akili timamu?


GKUNDI

Tunaomba source ya hii habari maana naona imeanza kujadiliwa bila kujua source yake.Hebu weka mezani ili tuchambue kiundani inabidi tujue alikua anaongea na nani ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…