Chama pinzani kuongoza Tanzania labda mkazikir uchi sio kwa mjinga mnaoufanya ...

Chama pinzani kuongoza Tanzania labda mkazikir uchi sio kwa mjinga mnaoufanya ...

Hemedy Jr Junior

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2023
Posts
915
Reaction score
1,082
Sorry... headline isomeke hivi
Chama cha chadema kuongoza Tanzania labda mkazikiri uchi sio kwa ujinga mnaoufanyaga
..

📌 Nishawai kufanya kampeni za mbunge fulani (Wilaya ya muleba) Toka Chadema kelele zilikuwa nyingi na ushindi ulikuwa mkononi kabisa chadema kuchukua kiti cha ubunge jimbo Muleba kusini (Anna Tibaijuka)
..... akupiga kampeni zaidi ya kuwapa zawadi wanamama na n.k

Ila chadema kila siku kuomba kura.... mwisho wa siku Mbunge akauza kura ) na kukimbilia uganda mwisho wa siku nikawa na hoji vipi mh. Kwanza nikala block ya maana nikasema any siku chadema ikachukua kiti nitakuwa mzee sana 😁

Chadema njaa ndo inayowasumbua hamna hata nia njema na wananchi nimeshuhudia mengi sana(○Siasa mchezo mchafu)

Kwasasa siasa nimeweka pembeni niko bize na kesho yangu.... ila sitetei chama chochote mimi. Chama changu ni kazi yangu na pesa yangu inayonifanya napata ninachokihitaji.
Hivo....
 
Mtoa hoja ebu relax, kuna game nzuri sana ipo sasa kati ya Mamelodi na Hilal ya Sudan, game ambayo bingwa mtetezi itaamua hatima yake, soma tena ulichoandika na kielewe na tusi ulilotukana hapo inakupambanua wewe ni mtu wa namna gani, mgombea ubunge wa CDM mmoja Muleba kakuvuruga, ulichoamua ni kufagia chadema wote na ufagio mmoja, acha upumbavu wako, ukiambiwa uthibitishe hilo huwezi kuwa eti mgombea kakimbilia UG
 
Mtoa hoja ebu relax, kuna game nzuri sana ipo sasa kati ya Mamelodi na Hilal ya Sudan, game ambayo bingwa mtetezi itaamua hatima yake, soma tena ulichoandika na kielewe na tusi ulilotukana hapo inakupambanua wewe ni mtu wa namna gani, mgombea ubunge wa CDM mmoja Muleba kakuvuruga, ulichoamua ni kufagia chadema wote na ufagio mmoja, acha upumbavu wako, ukiambiwa uthibitishe hilo huwezi kuwa eti mgombea kakimbilia UG
uthibitisho unapenda utapata. We ndo mpumbav ujalazimishw uje kukoment
 
Huna mama mpaka
Sorry... headline isomeke hivi
Chama cha chadema kuongoza Tanzania labda mkazikiri uchi sio kwa ujinga mnaoufanyaga
..

📌 Nishawai kufanya kampeni za mbunge fulani (Wilaya ya muleba) Toka Chadema kelele zilikuwa nyingi na ushindi ulikuwa mkononi kabisa chadema kuchukua kiti cha ubunge jimbo Muleba kusini (Anna Tibaijuka)
..... akupiga kampeni zaidi ya kuwapa zawadi wanamama na n.k

Ila chadema kila siku kuomba kura.... mwisho wa siku Mbunge akauza kura ) na kukimbilia uganda mwisho wa siku nikawa na hoji vipi mh. Kwanza nikala block ya maana nikasema any siku chadema ikachukua kiti nitakuwa mzee sana 😁

Chadema njaa ndo inayowasumbua hamna hata nia njema na wananchi nimeshuhudia mengi sana(○Siasa mchezo mchafu)

Kwasasa siasa nimeweka pembeni niko bize na kesho yangu.... ila sitetei chama chochote mimi. Chama changu ni kazi yangu na pesa yangu inayonifanya napata ninachokihitaji.
Hivo....
Sorry hiv huna mama mpaka unamweka Dp mama wa mwenzio mim binafs.... i love my mama.......!
 
Hiki chama hakitakuja kiongoze hii nchi never ever!!,bora tubaki na zimwi letu tunalolijua kuliko kwenda na hawa watu tutakula za kichwa tukome...ogopa sana:

a)Kwa miaka kibao na mwenyekiti wao wamekuwa wakiimba mamvi ni fisadi ila Mamvi huyohuyo kampasia donge nono meenyekiti akapewa uwakilishi wa sehemu nyeti kabida kwenye chama 2015,hii ni dalili ya wazi kwamba chama kipo kwa ajili ya maslahi ya kipesa,sasa what if tukuwapa nchi!??
B)Wanakaa na wabunge wao wanawake na wanaweka msimamo ni mmoja kwamba hatutakubali nafasi hata moja ya ubunge huu ndio msimamo wetu kama chama wanakubaliana vizuri,matokeo yake wamama wanawazunguka wanaenda kuchukua mpunga na walikuwa ni nguzo ya chama,imagine unakuwa na watu wa aina hii katika mapambano ya ukombozi wanaotanguliza maslahi ya kipesa,what if wakipata nchi!?
 
uthibitisho unapenda utapata. We ndo mpumbav ujalazimishw uje kukoment
Upumbavu wako umekufanya usome comment yangu, elewa Tanzania sio mali ya mafisadi wa ccm, uongo ni uchawi mkubwa, undermine CDM on your own risk
 
Back
Top Bottom