Mipango mizuri kwani mustakabali wa taifa la Kenya kwa sasa ulikuwa katika mikono ya viongozi wa vyama hivi viwili.Chama tawala nchini Kenya cha Jubilee, kimesema kiko tayari kuunda serikali ya umoja wa kitaifa pamoja na chama ODM cha Raila Odinga kuelekea uchaguzi mkuu wa 2022. Kiongozi wa walio wengi katika bunge la Kenya Aden Duale amesema bungeni kuwa chama cha Rais Kenyatta kiko tayari kushirikiana na chama cha Odinga, kwa sharti kwamba kinachukuwa nafasi nyingine lakini siyo ya Rais.
View attachment 715861
Yaani wewe ni kiazi kwalipi jirani yake aige? Mtakung'utwa tu 26.04Safi sana.
Ni hatua njema sana kwa demokrasia ya Taifa lao.
Jirani yao wanayepakana naye upande wa Kusini naye angeiga hii.
Dogo punguza kushobokeana mitandaoni.Yaani wewe ni kiazi kwalipi jirani yake aige? Mtakung'utwa tu 26.04
Acha ukenge wewe. Mbeba mabox ulayaDogo punguza kushobokeana mitandaoni.
Shauri yako.
JPM hana hiyo akili Mkuu..Safi sana.
Ni hatua njema sana kwa demokrasia ya Taifa lao.
Jirani yao wanayepakana naye upande wa Kusini naye angeiga hii.