marashi ya pwani
Senior Member
- Sep 30, 2024
- 120
- 132
Kama hutuwezi kuvumiliana katika hili basi hakuna haja ya kuwa na vyama vingi
Shabiki wa YANGA na Simba wanapata huduma sawa na hakuna kati Yao anaeoneka si BINADAMU sahihi
Lakini Leo inafikia hatua ukiwa chama Cha upinzani unaonekana mpinga maendeleo mleta vita mtu usie stahili katika jamii Kila sifa mbaya ya kwako
Hata zinapokuja fulsa mbalimbali wanapewa vipa umbele wa chama TAWALA
Binafsi sijui katiba pia sijui nani alipendekeza kuazishwa kwa vyama vingi na sijui vimeanzishwa kwa lengo gani
lakini tulikofikia si tanzania Africa kwa ujumla mfumo wa vyama vingi hatuuwezi tutafute namna nyingine
Napendekeza selikal iliyo madarakani kuvifuta vyama vyote vya upinzani kiwe Chama kimoja tu kinachotawa ili undugu wetu ujamaa uludi
Muongoze bila kupingwa kwa miaka 5 Kisha tuone sisi wenyewe wananchi kama Kuna umuhimu wa kuwepo vyama vya upinzani au laah
Na ndio tutajua wanayopigia kelele wapinzani Yana faida gani kwetu
Nina mengi ya kuongea acha niishia hapa
Nisije nikapitwa mda wa daku
Shabiki wa YANGA na Simba wanapata huduma sawa na hakuna kati Yao anaeoneka si BINADAMU sahihi
Lakini Leo inafikia hatua ukiwa chama Cha upinzani unaonekana mpinga maendeleo mleta vita mtu usie stahili katika jamii Kila sifa mbaya ya kwako
Hata zinapokuja fulsa mbalimbali wanapewa vipa umbele wa chama TAWALA
Binafsi sijui katiba pia sijui nani alipendekeza kuazishwa kwa vyama vingi na sijui vimeanzishwa kwa lengo gani
lakini tulikofikia si tanzania Africa kwa ujumla mfumo wa vyama vingi hatuuwezi tutafute namna nyingine
Napendekeza selikal iliyo madarakani kuvifuta vyama vyote vya upinzani kiwe Chama kimoja tu kinachotawa ili undugu wetu ujamaa uludi
Muongoze bila kupingwa kwa miaka 5 Kisha tuone sisi wenyewe wananchi kama Kuna umuhimu wa kuwepo vyama vya upinzani au laah
Na ndio tutajua wanayopigia kelele wapinzani Yana faida gani kwetu
Nina mengi ya kuongea acha niishia hapa
Nisije nikapitwa mda wa daku