Nguva Jike
JF-Expert Member
- Jan 22, 2018
- 1,226
- 1,757
Habari zenu JF.
Mwaka 2015 niliingia benki flani Mida ya asubuhi kwenda kutuma pesa za ada ya chuo.
Cha ajabu ile nasukuma mlango niingie ndani kuna mfanyakazi mmoja Wa benki alikurupuka ghafla akiingia chumba kimoja wapo cha benki kiasi cha kuangusha laptop ya reception.
Nilijiuliza mengi sikupata majibu mpaka Leo hii. Hata wenzie walishtuka.
Nb: Simjui wala hanijui. Je, hii ilikuwa nini?
Mwaka 2015 niliingia benki flani Mida ya asubuhi kwenda kutuma pesa za ada ya chuo.
Cha ajabu ile nasukuma mlango niingie ndani kuna mfanyakazi mmoja Wa benki alikurupuka ghafla akiingia chumba kimoja wapo cha benki kiasi cha kuangusha laptop ya reception.
Nilijiuliza mengi sikupata majibu mpaka Leo hii. Hata wenzie walishtuka.
Nb: Simjui wala hanijui. Je, hii ilikuwa nini?