mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,492
- 768
Tubonge is a gospel song, its really hot...
The guy's songs move me.
Are u serious the song tubonge is a gospel song? How?
Sibishi mkuu lakini make me believe if the song is really gospel. Mm sijasikia neno lolote la gospel hapo so maybe unijuze zaidi
Sibishi mkuu lakini make me believe if the song is really gospel. Mm sijasikia neno lolote la gospel hapo so maybe unijuze zaidi
Katika wasanii wanaoimba music kwangu Dr. Kinyonga atabaki kuwa mwanamziki pekee ambaye kwake wengine wanafata katka ukanda huu wa EA,Kwa ubora. Huimba wakati mwingine Kiganda ambacho sikifaham, still nasuuzika kwa melody na bits tam. Jamaa anaweza.
Sibishi mkuu lakini make me believe if the song is really gospel. Mm sijasikia neno lolote la gospel hapo so maybe unijuze zaidi
Inabidi tu nikukubalie kwa sasa ila naendelea kufuatilia kujua ukweli kama ni gospel au la caz I love gospel
Napenda ile line anasema "ningelikuwa na nambari ya simu........."