Chameleone anena " sioni tatizo la diamond kutoka na zari"

Chameleone anena " sioni tatizo la diamond kutoka na zari"

GadoTz

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2014
Posts
370
Reaction score
636
DIMONDDDDDE.jpg


Msanii nguli kutoka Uganda Jose Chameleone amefunguka na kusema kuwa haoni tatizo lolote la msanii Diamond kutoka na mrembo Zari wa Uganda.
Mapenzi ya Diamond na Zari ambayo yamekuwa na umaarufu mkubwa sana Afrika Mashariki yamezungumziwa na Jose Chameleone wakati akiojiwa na mtandao wa Ghafla wa nchini Kenya.

"Kama wanapendana sioni tatizo" alisema msanii Chameleone. Kauli hii inakuja baada ya Diamond kutangaza hivi karibuni kwamba anatarajia mtoto kutoka kwa Zari.

Alipoulizwa kuhusu kazi ya sanaa ya Diamond, Chameleone alitoa maoni yake : Ni msanii mzuri sana, idadi ya wasanii wazuri Afrika Mashariki inazidi kuongezeka, ndio maana muziki wetu umeanza kuchezwa Nigeria sababu nguvu ni kubwa kutoka Afrika Mashariki.
 
Ni kweli hakuna tatizo juu ya uhusiano waonashangaa sana watu wanaomwandama
 
Chameleon ni top musician hapa Afrika Mashariki, forget about huyo domo wala hamfikìi robo yake
 
diaamond ndio msanii anaekubalika kuliko wooote africa nzima kawaulize psqueare
 
Hapo amenena wenye roho za kutu mpaka mfianw
 
diaamond ndio msanii anaekubalika kuliko wooote africa nzima kawaulize psqueare

Bado unatuchukiaa hhhhhhhaaaaaaaaaaahhhhhhaaaaaaaaaaaaaaaaaahaaaaaaaaaaaaahaaaaaaaahaaaaaaaaaaaaaaaaahaaaaaaaahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Diaamond -Diamond
afica - anza na herufi kubwa
Psqueare- p- square
Mi nakupenda mpaka naumwaaaa
 
Back
Top Bottom