Vp ulikula nao sahani moja? Mpaka leo hii wapo wameniunga kwa grp yaoSiyo kujidhalilisha mkuu nimeandika kuwatahadharisha wengine lakini pia wahusika wajue kuwa sitakaa kimya nakula nao sahani moja mpaka kieleweke.
Hivi kwa akili ya kawaida inawezekanaje mtu ukaamini kwamba unaweza pata return ya uwekezaji 100% ndani ya siku 3. Ingekuwa rahisi hivyo watu wasingekuwa wanasave pesa bank wangepeleka huko tu ziwe znadouble tu.Habari za kazi wanajamvi.
Nimetapeliwa na kampuni inaitwa CHAMPION INVESTMENT ipo Mwanza wanajinasibu wamesajiliwa kisheria.
Nitaambatanisha nyaraka zao hapa chini.
Wanachofanya ni kukuunganisha kwenye group lao la Whatsapp halafu wanakwambia uwekeze kuanzia laki moja na na kuendelea baada ya siku tatu unapokea gawio la asilimia mia moja.
Kwa maana ya kuwa ukitoa laki moja utapokea laki mbili baada ya siku tatu. Juzi nilitoa hiyo pesa na leo ilikuwa nipokee gawio langu.
Naamka nawasha data naona namba yangu imekuwa removed nampigia admin kaniblock. Napiga kwa namba nyingine kapokea huyu anaitwa RICHARD EPHRAIM namba yake no 0716 340 435.
Wadau husika mkiwemo watendaji hebu naomba mnisaidie tuwakomeshe hawa MATAPELI wanaumiza watu.
View attachment 1326287View attachment 1326288View attachment 1326289View attachment 1326290View attachment 1326291
Kweli Asee....Maana hujui mungu amepanga Rizik ako utaipatia sehem gan hapa Duniani.
Jamaa wapo kikazi zaidi,ukienda kichwakichwa unaangukia pua😟Habari za kazi wanajamvi.
Nimetapeliwa na kampuni inaitwa CHAMPION INVESTMENT ipo Mwanza wanajinasibu wamesajiliwa kisheria.
Nitaambatanisha nyaraka zao hapa chini.
Wanachofanya ni kukuunganisha kwenye group lao la Whatsapp halafu wanakwambia uwekeze kuanzia laki moja na na kuendelea baada ya siku tatu unapokea gawio la asilimia mia moja.
Kwa maana ya kuwa ukitoa laki moja utapokea laki mbili baada ya siku tatu. Juzi nilitoa hiyo pesa na leo ilikuwa nipokee gawio langu.
Naamka nawasha data naona namba yangu imekuwa removed nampigia admin kaniblock. Napiga kwa namba nyingine kapokea huyu anaitwa RICHARD EPHRAIM namba yake no 0716 340 435.
Wadau husika mkiwemo watendaji hebu naomba mnisaidie tuwakomeshe hawa MATAPELI wanaumiza watu.
View attachment 1326287View attachment 1326288View attachment 1326289View attachment 1326290View attachment 1326291
Kutapeliwa ni uzembe,papara au tamaa.Ukiwa hauna hivyo vitu kamwe huwezi kutapeliwa.Duh! pole mkuu siwezi kukucheka.....kwenye kutapeliwa hakunaga mjanja, siku ikifika tu unaweza kuingizwa kingi.