mimi napenda mtangazaji anapo sema now chielin to pogba halafu machzio pirlo vidal tevez goooooo unbeliv
Line Up ya Barca bila shaka itakuwa kama ifuatavyo.
Formaion ni 4-3-3.
Ter Stegen (Golini)
Dani Alves, Javier Mascherano, Gerad Pique na Jordi Alba kwa upande wa Mabeki. Usitegemee Tevez na Morata wakafurukuta mbele ya Mnyama Mascherano, wangekuwa na wachezaji wenye kasi sana wangeweza kuwakimbiza beki za Barca.
Viungo ni kama Ifuatavyo.
Sergio Busquets, Ivan Rakitic na Andres Iniesta(Team Captain). Sahau Pogba, Pirlo na Vidal, hakuna makosa yanayoweza kufanyika na Wana Barca kuruhusu viungo wa Juve kukaa na mipira kisha kutuma though ball, na kwa mfumo wa Barca ni ngumu sana viungo wa timu pinzani kucheza mpira watakavyo.
Washambuliaji sasa.
Neymar Jr, Louis Suarez na Lionel Messi. Hapa kwa Ushambuliaji sitaki kuzungumza, utajionea mwenyewe mkuu.
USHAURI: Kama wewe ni mtu wa kubet basi usifanye upuuzi wa kusema Barca hatobeba Kombe.