Champions Legue Final - Bayen Munich VS Inter Milan- Count down

Champions Legue Final - Bayen Munich VS Inter Milan- Count down

Masanilo

Platinum Member
Joined
Oct 2, 2007
Posts
22,286
Reaction score
4,523

Wapenda soccer wote tunasubiria final hapo Madrid. Mechi hii huenda ikachezeshwa na refarii wa kiingereza Mr Howard Webb.


Nampenda Mourhino ila sifurahii mafanikio yake 🙂

My prediction goes for Bayen especially with the tricks of Robben on the wing and the prolific finishing of their striker Olic. Ila Inter Milan wana defense nzuri sana wakitangulia basi mechi itakwisha 1-0. Ila Bayen wakitangulia basi mechi itakwisha 2-1

Timu zote hizi zimekuwa na mafanikio kwenye nchi zao zote nimewin double kama Chelsea in England....nani kati yao atachukua kikombe cha tatu?

Wakuu wengine tujadiliane
 
i hope howard webb hato haribu mpira.mie nataka sana bayern washinde manake inter milan wakishinda mdomo mchafu wa mourhino tutakoma.


zaidi ya hapo nategemea mechi itakuwa nzuri sana na tuta enjoy wakati huu ambao tunasubiri world cup kwa hamu sana.
 
mi babu yenu huku vikindu hakuna TV wala umeme hebu niambieni mechi hii lini nijisogeze kwa mpwa wangu pale Mbagala zakiemu
 
mi babu yenu huku vikindu hakuna TV wala umeme hebu niambieni mechi hii lini nijisogeze kwa mpwa wangu pale Mbagala zakiemu

Na wewe mkuu hamia mjini ! Mechi ni Jumamosi Ijayo mkuu
 
Na wewe mkuu hamia mjini ! Mechi ni Jumamosi Ijayo mkuu

hahaaa mjini huko siwezi mia foleni za daladala mi ntaziweza wapi?huku burudani usafiri wa baiskeli swafi..salama lakini kaka
 
hahaaa mjini huko siwezi mia foleni za daladala mi ntaziweza wapi?huku burudani usafiri wa baiskeli swafi..salama lakini kaka

Nipo gado kiongozi! unadumisha mila sio huko village! Hata mjini mkuu waweza kupiga teke tu.....
 
Zanetti, Cambiasso, Milito na Eto kweli Bayern watapona hapo. Siwapendi Bayern
 
Bayern's record in European Cup finals is four wins and three defeats:
1974: 4-0 v Club Atlético de Madrid, Brussels
(replay after 1-1 draw)
1975: 2-0 v Leeds United AFC, Paris
1976: 1-0 v AS Saint-Etienne, Glasgow
1982: 0-1 v Aston Villa FC, Rotterdam
1987: 1-2 v FC Porto, Vienna
1999: 1-2 v Manchester United FC, Barcelona
2001: 1-1 v Valencia CF, 5-4 on penalties, Milan

Inter's record in European Cup finals is two wins and two defeats
1964: 3-1 v Real Madrid CF, Vienna
1965: 1-0 v SL Benfica, Milan
1967: 1-2 v Celtic FC, Lisbon
1972: 0-2 v AFC Ajax, Rotterdam
 
Van Gaal and Mourinho have both won the European Cup before – Van Gaal with Ajax in 1995 and Mourinho in 2004 with FC Porto. Whoever prevails will become the third coach to have lifted the famous trophy with two different clubs, following Ernst Happel and Ottmar Hitzfeld.

mourinhovangaal.jpg


These guys
battle for historic treble in Champions League final. Kama mnakubuka baada ya Bobby Robson Kuondoka Barcelona, Jose Mourinho alibakia chini ya Louis van Gaal. Mourinho aliisha sema Robson alimfundisha namna ya kuhamasisha wachezaji na Van Gaal alimfundisha namna ya kuandaa timu kisaikolojia na kupanga defense, je ataweza mfunga mwalimu wake? Jibu ni hapo May 22

http://www.youtube.com/watch?v=YpMwF0xk53w&feature=player_embedded#!
 
Last edited by a moderator:
Dah kihistoria hapo juu yaonekana Bayern wapo juu,inter wanarecord dhaifu kwenye CL...Ila this time karata yangu naweka kwa waweka ukuta!! Hope Inter watashinda on 90mins...Tumwache Jose aseme tu maana Kila chanda chema huvikwa pete..let the special one be the Only one
 
Go inter............mimi Inter bana, tutashinda tu.

Toa basi sababu mkuu! Usiwe kama wale wazee wa Dar es Salaam, kuna mmoja aliulizwa ulikuwa unashangilia nini kwenye hotuba...yule mzee akasema tualiambiwa tuwe tunashangilia raisi akiongea ebooo....!
 
Toa basi sababu mkuu! Usiwe kama wale wazee wa Dar es Salaam, kuna mmoja aliulizwa ulikuwa unashangilia nini kwenye hotuba...yule mzee akasema tualiambiwa tuwe tunashangilia raisi akiongea ebooo....!

hahaaaa mkuu watakusikia wenyewe iwe tabu..nakumbuka JK alisema kuongeza mshahara haiwezekanii..duhh suprosingly akina mama wakalipuka kwa vigelegele mpaka mi nikashangaaa hawa wanashangilia nini
 
hahaaaa mkuu watakusikia wenyewe iwe tabu..nakumbuka JK alisema kuongeza mshahara haiwezekanii..duhh suprosingly akina mama wakalipuka kwa vigelegele mpaka mi nikashangaaa hawa wanashangilia nini

Hahahahaha wale waliambiwa kazi yenu ni kushangilia tu! na kweli walishangalia shida walipoulizwa kipi kilichowafurahisha...? wengine hawana majibu wengine ndo hivyo ilikuwa kazi yetu ile!
 
Hahahahaha wale waliambiwa kazi yenu ni kushangilia tu! na kweli walishangalia shida walipoulizwa kipi kilichowafurahisha...? wengine hawana majibu wengine ndo hivyo ilikuwa kazi yetu ile!

yaani katika maisha yangu hakuna kipindi napata kichekesho kama nikisikia JK anataka kuhutubia....wakati wa WEF ndo nilichoka kabisa...yaani prezida understanding ya vitu iko theoretical mnooooooo....yaani anazidiwa hata na muhuni Tshivangarai .....Zenawi anaongea vitu vimekwenda shule haswa...aaaah Salim nakuliliaaa prezidenti wangu yaani wewe ndo ulistahili basi tu
 
Toa basi sababu mkuu! Usiwe kama wale wazee wa Dar es Salaam, kuna mmoja aliulizwa ulikuwa unashangilia nini kwenye hotuba...yule mzee akasema tualiambiwa tuwe tunashangilia raisi akiongea ebooo....!

Nimecheka sana maana kigogo nae alishangaa kwa nini wazee wanacheka wakati wameambiwa mshahara haupandi........
Mkuu philosophy ya manager wetu wa Inter ndio inayonipa kiburi.,...kitakachofanyika ni kwamba Inter itatumia "Score early(SE).....comeback to defend(CD)" Hadi Eto atakuwa defender siku hiyo mara tu ya kushinda. Thereis no way out, philosophy ya SE>>>>CD itatumika kupata ushindi
 
yaani katika maisha yangu hakuna kipindi napata kichekesho kama nikisikia JK anataka kuhutubia....wakati wa WEF ndo nilichoka kabisa...yaani prezida understanding ya vitu iko theoretical mnooooooo....yaani anazidiwa hata na muhuni Tshivangarai .....Zenawi anaongea vitu vimekwenda shule haswa...aaaah Salim nakuliliaaa prezidenti wangu yaani wewe ndo ulistahili basi tu

Mkuu wa kaya anaweza u comedian..yaani naona hata waandishi wa habari wengine walikuwa wanamuonea huruma kumpiga maswali baada yakuona anapotezea mengine kwa kujibu very shallow....
B.Mkubwa umenena haswa tactics za Jose hapo na ndo ata apply hiyo ili aweze kuweka historia kwa club ya Inter!
 
mi babu yenu huku vikindu hakuna TV wala umeme hebu niambieni mechi hii lini nijisogeze kwa mpwa wangu pale Mbagala zakiemu
Kiongozi acha utani we tunakula bata wote hapa mjini na leo unasema upo Vidunda! Karata yangu wadau nwamwaga kwa Inter hasa ukizingatia bayen kama vile wapo pungufu tayari kutocheza kwa Ribery ni penngo kwao.Game itakuwa nzuri hasa nikiangalia viwango wa hizi timu kwasasa hakuna wa kumbeza au kumtambia sana mwenzake they are at the same level.
 
itakuwa gemu ya hovyo haswa kwa sababu ya Inter watapaki bus na kusubiria nafasi mbili tatu za kona, free kick au counter attack. Napenda Inter ichukue thanks to African contingent Eto'o, Mariga, Muntari, Baloteli na Maicon.

Forza Nezzazuri.
 
Back
Top Bottom