itakuwa gemu ya hovyo haswa kwa sababu ya Inter watapaki bus na kusubiria nafasi mbili tatu za kona, free kick au counter attack. Napenda Inter ichukue thanks to African contingent Eto'o, Mariga, Muntari, Baloteli na Maicon.
Forza Nezzazuri.
Sijamaanisha Waafrika kijiografia.Masahihisho kidogo mkubwa MAICON ni full back kutoka Brazil-BEST FULL BACK RIGHT baada ya CAFU kustaafu
FORZA NERRAZURI
Uzuri wako, ukisema X bingwa basi ujuwe ni Y.....Kwahiyo Inter bingwa, si utaona.......Natumia historia yako, kila timu ukishangilia hufungwa....hahahahahhaBayern bingwa............Hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Mkuu umeweka uzalendo mbele...vipi angekuwa Chuji hapo!!
Angekuwa Chuji hapo hawa kandambili tungewakoma.Mkuu umeweka uzalendo mbele...vipi angekuwa Chuji hapo!!
Jose Mourhino anasema CL final is more important than world cup huyu jamaa is arrogant sijawahi kuona!
Eti Darasa la nne tulisoma XXXL = 35 au 80? Sikumbuki mkuu, naomba ufafanuwe umempa thanks ya XXXL unamanisha nini? umezihesabu....ngoja na mimi nihesabu nilizokupaNimekupa thanks ya XXXL
Eti Darasa la nne tulisoma XXXL = 35 au 80? Sikumbuki mkuu, naomba ufafanuwe umempa thanks ya XXXL unamanisha nini? umezihesabu....ngoja na mimi nihesabu nilizokupa
Duuh, kweli mkuu umedhamilia....80!....kuna wimbo unaimbwa...kila kona, watu kibao...ukienda jukwaa hili watu kibao>>>> sijui kama Belinda anafahamu hilo.....Eti Inter 3 na Baye 1? Siku hiyo naailisha kila kitu, hata mbagala siendi....lolHahahahah bwana mwache Mzenji wangu Belinda J XXXL ni 80 kwa lugha za kiyunani maana yake is very large number......upo?
Duuh, kweli mkuu umedhamilia....80!....kuna wimbo unaimbwa...kila kona, watu kibao...ukienda jukwaa hili watu kibao>>>> sijui kama Belinda anafahamu hilo.....Eti Inter 3 na Baye 1? Siku hiyo naailisha kila kitu, hata mbagala siendi....lol