Champions Legue Final - Bayen Munich VS Inter Milan- Count down

Milito ndiye Mchezaji Bora wa Mwaka huu hakuna Ubishi
Millito kafunga magoli muhimu, lakini nadhani mchezaji aliyenifurahisha na kucheza kiwango cha juu ktk mechi zote muhimu ni Walter Esteban Cambiaso..huyu anastahili kuwa kiungomkabaji bora wa CL ya mwaka huu kaa sio mchezaji bora.
 
Jose has done it again na mafia team Chelsick hamuwezi waona leo hapa wameenda kuomboleza.
 
Webb ikiwa ManU haichezi anachezesha vizuri kabisa kwa asilimia 200.lol
 
hats off for MOURINHO....surely he is THE SPECIAL ONE 2 CHAMPS LEAGUE TITLES,2 PL TITLES,2 SCUDDETTO next stop SANTIAGO B
''He always come,win and go....HE TALKS THE TALK and WALKS THE WALK''
 
Ngosha et al, straika wako Bendtener anaeza funga goli mahiri kaa lile la pili la Millito? just an open question..
 
Mzee umeanza kufuatilia soka la Ulaya lini? Baada ya Madrid timu inayofuatia ktk kuchukua kombe hili Milan 1899 a.k.a Rossoneri. BTW, Etoo amefurukuta kwene goli la pili amechangia, lakini straika wako Olic alikuwa anarukaruka tu uwanjani.

Nimekuuliza leo utawashabikia mahasimu wako Inter?........maana najua wewe u Rossoneri........Ni kama Simba kuwashabikia Yanga
 
Ngosha et al, straika wako Bendtener anaeza funga goli mahiri kaa lile la pili la Millito? just an open question..

mzee acha utani...hayo magoli wanafunga watu wazima vichwa vimetulia..............
 
Ngosha et al, straika wako Bendtener anaeza funga goli mahiri kaa lile la pili la Millito? just an open question..

Straika'angu ni RVP bana..............Huyo Bendtner daima simkubali....huwa namkataa wazi wazi...........Jibu ni.....hawezi kufunga
 
hats off for MOURINHO....surely he is THE SPECIAL ONE 2 CHAMPS LEAGUE TITLES,2 PL TITLES,2 SCUDDETTO next stop SANTIAGO B
''He always come,win and go....HE TALKS THE TALK and WALKS THE WALK''
Kweli kamanda,

Special one anadhihirisha kwamba kukimbiakimbia tu na mpira na kukaa nao muda mwingi sio kushinda mechi na vikombe.
 
Nilisema,
Sijui kwa nini hata mie Bayen si wangu, lakini inabidi tukubaliane na ukweli kuwa watashinda pengine 2-0
Huu ndio mkakati bomba wa kubahatishia mema unachokipenda!
 
Bwa ha ha haa nini sasa.....Umeuliza swali nimekujibu..........Cha msingi utueleze kama straika wa timu yako aweza funga goli kama lile
Of course mastraika wote wa Rosso wana kiwango , ukianzia Borrielo, dogo Pato, Huntelaar mpaka kibabu Inzaghi..
 
Naona Sneider kafurahi kinyama, maana Madrid walimuekea kiwingu akatambaa zake, sasa hivi Madrid kukavu hakuna hata kikombe cha mbuzi wakati Inter wanachukua vikombe for fun.
 
hats off for MOURINHO....surely he is THE SPECIAL ONE 2 CHAMPS LEAGUE TITLES,2 PL TITLES,2 SCUDDETTO next stop SANTIAGO B
''He always come,win and go....HE TALKS THE TALK and WALKS THE WALK''
Sawa mzee, lakini it's an injustice to the beautiful game. Mourinho haitendei haki football. Ugly stuff!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…