Acha upumbavu wewe rate ya unemployment ya USA unaweza kulinganisha na ya kwetu kweli?USA na uchumi wa juu napo ajira hakuna hivyo kauli yako na kubeba kwako huu ujumbe kunaonyesha jinsi gani ulivyo "mjinga"
Sasa wewe na akili zako zote umeona ni sawa ku compare hizo data zako na za Tanzania??Acha upumbavu wewe rate ya unemployment ya USA unaweza kulinganisha na ya kwetu kweli?
Pia kumbuka Serikali ya Marekani inatoa subsistence allowance to unemployeed.
Sasa huoni huko kufananisha tatizo la ajira kwa nchi ya Marekani na Tanzania ni ukichaa? Jipange upya katika kujibu hoja.
Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
Barua ya kusifu na kuabuduTaarifa Kwa Umma Kutoka Chama Cha Mapinduzi-CCM Kuhusu Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi-CCM Kilichoketi Leo Chini ya Mwenyekitiwa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungabo wa Tanzania Dkt John Magufuli
View attachment 1542134
Upotoshaji huu ungefanywa na CHADEMA......Polepole jina rasmi la nchi yetu ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT) na sio Serikali ya Muungano wa Tanzania (SMT)!
Unajua USA wanawasaidiaje wasiokuwa na ajira?USA na uchumi wa juu napo ajira hakuna hivyo kauli yako na kubeba kwako huu ujumbe kunaonyesha jinsi gani ulivyo "mjinga"
Mkuu msamehe bure tu hajitambui, na hajui kama hajitambui, hata kwa kutumia neno ujinga inaonesha jinsi yeye alivyo mjinga. Analinganisha ukosefu wa ajira wa Tanzania na USA!!!!!Acha upumbavu wewe rate ya unemployment ya USA unaweza kulinganisha na ya kwetu kweli?
Pia kumbuka Serikali ya Marekani inatoa subsistence allowance to unemployeed.
Sasa huoni huko kufananisha tatizo la ajira kwa nchi ya Marekani na Tanzania ni ukichaa? Jipange upya katika kujibu hoja.
Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
Hata kama wana wasaidia, Lakini unatakiwa kujua ukubwa wa uchumi wao, dhuluma wanazo fanya ku boost uchumi wao na reserves etc sasa wewe na akili zako unataka kujilinganisha nao, utakuwa unatembea bila kichwa.Unajua USA wanawasaidiaje wasiokuwa na ajira?
CUF?hii CCM chini ya MATAGA inatu embarass sana sisi wafia chama.
yaani imefikia mahali tunalinganishwa vibaya hivi na hata hivi vyama vichanga kweli?
aaargh!
View attachment 1542141
Reflection yangu kuhusu unemployment is all over the world, iwe first, second, third tier countries and below.Mkuu msamehe bure tu hajitambui, na hajui kama hajitambui, hata kwa kutumia neno ujinga inaonesha jinsi yeye alivyo mjinga. Analinganisha ukosefu wa ajira wa Tanzania na USA!!!!!
CUF+NCCR+UDP+TLP+ADP+CCM = UKAWA VERSION 2020CUF?
Sawa kabisaCUF+NCCR+UDP+TLP+ADP+CCM = UKAWA VERSION 2020