CHAN 2016 Qualifiers: Tanzania vs Uganda

CHAN 2016 Qualifiers: Tanzania vs Uganda

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Katika michuano ya Kombe la Mataifa barani Afrika, kwa wachezaji wa vilabu vya ndani tu.

Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars leo itakuwa katika kibarua chake cha kwanza ikivaana na Uganda The cranes.

"CHAN live ndani ya azamtv Tanzania v Uganda moja kwa moja kutoka uwanja wa Amani ZNZ, channel namba 100 saa 2 usiku,uchambuzi saa 1:30.."

Nina Matumaini makubwa kwamba Taifa Stars itashinda hii mechi kutokana na nature ya michuano.

Ubora wa wachezaji wa ligi Kuu Tanzania ni nzuri ukilinganisha na wachezaji wa ligi Kuu Uganda.

Tukumbuke kwamba The Cranes wamekuwa wakifanya vizuri kutokana na kuwa na idadi kubwa ya wachezaji wanaocheza nje.

Tutakuwa tukipeana Updates hapa za kinachoendelea hapa.
 
Taifa stars ni maumivu ya kichwa,malinzi si alisema huyu kocha akifungwa leo anafungasha vyake,tusubiri
 
Taifa stars ni maumivu ya kichwa,malinzi si alisema huyu kocha akifungwa leo anafungasha vyake,tusubiri

Usijali Leo Stars watashinda tu! Unajua kwanini mechi imepelekwa Zanzibar...?
 
wangefungwa uwanja wa taifa wangepigwa mawe

Wanajua sana kwamba watz wamechoshwa na matokeo mabaya.... Wameamua waipeleke mechi zenji...!

Zenji watu wako kwenye Mfungo, so si rahisi kuleta vurugu.

By the way, naona Stars akishinda leo.
 
Wanajua sana kwamba watz wamechoshwa na matokeo mabaya.... Wameamua waipeleke mechi zenji...!

Zenji watu wako kwenye Mfungo, so si rahisi kuleta vurugu.

By the way, naona Stars akishinda leo.

Mkuu mi nikiangalia hii mechi ni dro

Hivi draw ikitokea kuna matuta?
 
hii timu haifai hawapiti hapo hata wakibahatika droo au kushinda wakenda Uganda wanatolewa. Hawafundishiki tena hao
 
Mkuu mi nikiangalia hii mechi ni dro

Hivi draw ikitokea kuna matuta?

Yap! Hata matokeo ya droo yanawezekana katika hii mechi.!

1la hatutakuwa na mikwaju ya penalties.
 
hii timu haifai hawapiti hapo hata wakibahatika droo au kushinda wakenda Uganda wanatolewa. Hawafundishiki tena hao

Ukilinganisha ubora wa wachezaji wa ligi zetu za ndani hapa Afrika Mashariki.... Unaona tuko sawa.

Hakuna mwenye kuonekana kwamba anawachezaji wazuri.
 
Taifa stars ni maumivu ya kichwa,malinzi si alisema huyu kocha akifungwa leo anafungasha vyake,tusubiri

Sasa hilo lina faida gani kwa wapenda soka na watanzania wote kwa ujumla kumtimua kocha baada ya kufanya vibaya!!
Kwanin hakumtimua mapema ili timu apewe kocha ambae atatufikisha mbali kabla ya kusubiri kupigwa kwanza halafu atimuliwe kocha?!
 
Sasa hilo lina faida gani kwa wapenda soka na watanzania wote kwa ujumla kumtimua kocha baada ya kufanya vibaya!!
Kwanin hakumtimua mapema ili timu apewe kocha ambae atatufikisha mbali kabla ya kusubiri kupigwa kwanza halafu atimuliwe kocha?!

Hivi unajua tangu malinzi aingie tumeshinda mechi mbili tu,zingine kama 15 tumepigwa
 

  • Taifa Stars ikitaka kushinda kesho ipangwe hivi:

    (1) Mwadini Ally
    (2) S Kapombe
    (3) Mwinyi Haji
    (4) H Isihaka
    (5) Nadir H
    (6) J Mkude
    (7) S Mdelwa
    (8) A Banda
    (9) S. Msuva
    (10) R mandawa
    (11) Kelvin F

    Sub: H. Dilunga, A. Green​



 

  • Taifa Stars ikitaka kushinda kesho ipangwe hivi:

    (1) Mwadini Ally
    (2) S Kapombe
    (3) Mwinyi Haji
    (4) H Isihaka
    (5) Nadir H
    (6) J Mkude
    (7) S Mdelwa
    (8) A Banda
    (9) S. Msuva
    (10) R mandawa
    (11) Kelvin F

    Sub: H. Dilunga, A. Green​




Game ipo leo si kesho.
 
Taifa starz ya sasa haina mashamsham kama enzi za maximo au kim paulsen...
 
Back
Top Bottom