CHAN FINAL: Morocco yaifunga Mali 2-0 na kutwaa ubingwa

CHAN FINAL: Morocco yaifunga Mali 2-0 na kutwaa ubingwa

Abu Ubaidah Commando

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2016
Posts
7,591
Reaction score
6,946
Screenshot_20210208-100929_Instagram.jpg

The Atlas/Morocco wanaandika historia ya kubeba ubingwa wa michuano ya CHAN mara mbili mfululizo.

2018 🏆
2020 🏆


Rekodi kwa miamba ya Atlas.

Baada ya kuitungua Mali 2-0 kwenye mchezo wa fainali ya CHAN, timu ya taifa ya Morocco inakuwa timu ya kwanza kutwaa taji hilo mara mbili mfululizo.

Simba hao wa milima ya Atlas, hawajafungwa mechi tangu mara ya mwisho kufungwa January, 20, 2016 dhidi ya Ivory coast.


Hongereni sana simba wa hii michuano, mumestahili sana,

I love very much Morocco team ❤
 
Morocco atachukua mara 10 mfululizo

Chan wao wanachagua wachezaji wa timu zao mbili vigogo tupu.. wachezaji wa morocco wametoka waydad Casablanca na raja Casablanca... sasa hizo klabu zinavyosumbua caf champions league washindwe kubeba chan ambayo nchi kama Tanzania zimechagua wachezaji wa mtibwa na mbeya city..

Yaani mshambuliaji wa waydad ama raja akabwe na beki wa mbeya city.. si uonevu huo wa wazi kama sio ubakaji wa mpira. Ni sawa na bondia heavy weight apigane na bondia light weight mwizi wa keko
 
Chan wao wanachagua wachezaji wa timu zao mbili vigogo tupu.. wachezaji wa morocco wametoka waydad Casablanca na raja Casablanca... sasa hizo klabu zinavyosumbua caf champions league washindwe kubeba chan ambayo nchi kama Tanzania zimechagua wachezaji wa mtibwa na mbeya city..

Yaani mshambuliaji wa waydad ama raja akabwe na beki wa mbeya city.. si uonevu huo wa wazi kama sio ubakaji wa mpira. Ni sawa na bondia heavy weight apigane na bondia light weight mwizi wa keko

You made my day bro 😂😂😂😂 aiseee
 
Back
Top Bottom