TBC nayo kumbe ni channel ya kuilinganisha na KBC?
Ila inaendeshwa kisiasa TBC na wasafi tv zimetofautiana kidogo tu.Ha ha ha ha ni ya Taifa mkuu, kodi zetu zile
Angalia zbc 2 au Rwanda TV wako live kwenye azamtv tbc bado wa namalizia matangazo ya chattleHivi sisi tunafeli wapi?
Hata burudani inaonekana kama anasa.
Kenya wao kwanini waoneshe mda huu wapo LIVE KBC channel 1
TBC wakati inaongozwa na D.T.M. ilikuwa inonyesha mipira,hata baadhi ya mechi za EPL ilikuwa inaonyesha,wabongo Kama kawaida yao,wakamletea figisufigisu na wakamtema Tbc,mkurugenzi wa Sasa Tbc hajaipa kipaumbele mechi zionyeshwe mubashara,siasa,makongamano nk unaweza kuyaona mubashara Tbc,lakini soka mmmhh.Hivi sisi tunafeli wapi?
Hata burudani inaonekana kama anasa.
Kenya wao kwanini waoneshe mda huu wapo LIVE KBC channel 1
Hii Zbc sio yetu bali Zimbabwe, niliangalia mechi ya simba na platinum hukoNa ZBC 2
ni Zanzibar broadcasting corporationHii Zbc sio yetu bali Zimbabwe, niliangalia mechi ya simba na platinum huko
Hakuna kitu kinachonikera, kama hao TBC kuifanya hiyo TV ni ya Polepole!Angalia zbc 2 au Rwanda TV wako live kwenye azamtv tbc bado wa namalizia matangazo ya chattle
Tbc wao kazi yao ni kumuonyesha mzee baba laivu bila chenga kwenye ziara zake na mauzinduzi ya mamiradi makubwa makubwa chana mtajiju wenyeweHivi sisi tunafeli wapi?
Hata burudani inaonekana kama anasa.
Kenya wao kwanini waoneshe mda huu wapo LIVE KBC channel 1
Television ya taifa au ya Ccm mkuu???Wewe nawe kichwa chako sijui kikoje..
Television ya KBC ni ya michezo?
Inaonekana uelewa wako kwa mambo muhimu ni kidogo mno,...TBC siyo channel ya mpira muwe mnaelewa
Dah?!Hii Zbc sio yetu bali Zimbabwe, niliangalia mechi ya simba na platinum huko
Angalia ZBC 2 kwenye AZAM TV, ilitangazwa mechi zitaoneshwa hapo, sasa wewe unafeli wapi? Utakuwa mzito wa kuelewa.Hivi sisi tunafeli wapi?
Hata burudani inaonekana kama anasa.
Kenya wao kwanini waoneshe mda huu wapo LIVE KBC channel 1
Kichwa chako na wewe hakina akili timamu na unaonekana mbinafsi, yaani wewe ukiona mpira wengine unadhani wanaona, kwa wenye Startimes na Dstv kuna ZBC 2?Angalia ZBC 2 kwenye AZAM TV, ilitangazwa mechi zitaoneshwa hapo, sasa wewe unafeli wapi? Utakuwa mzito wa kuelewa.