Viongozi wanao jua umuhimu wa uhai wa raia waoGerman Chancellor Angela Merkel is in quarantine at home after coming into contact with a doctor who tested positive for coronavirus, her spokesman said Sunday.
Source: Bloomberg
Hatakua anafanya mambo mengi kupitia video link. Halafu Quarantine ya Viongozi kama Hawa sio sawa na sisi. Kuongozi kama huyu atakua Quarantine na ikulu nzima. Kwa sababu atakuwa alishakuta na wengi kabla hawajagundua huyo Dokta ana Coronavirus.