Chanel 10 na music wakati wa mada za maana

Froida

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2009
Posts
8,768
Reaction score
3,233
Channel 10 wananiudhi sana sasa hivi kwenye kipindi cha Je tutafika yupo jaji Mkuu mstaafu Agustino Ramadhani Brigedia hashim Mbita wanaongelea kuhusu katiba lakini nasikiia kwa taabu hata neno moja kumewekwa music wa kizazi kipya kwa sauti kubwa kabisa na hii si mara moja hata taarifa zao au vipindi vingine kama pambanua naHamza Kassongo hour au ni hujuma ya makusudi hebu channel ten jirekebisheni sio ustaarabu
 
hao wanapata ruzuku za ccm hawawezi kutenda wema kwa watanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…