Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Chenel ten ni wanafiki Sana muda huu kwenye taarifa yao ya habari wamesema mambo mawili ya kinafiki.
1. Uchaguzi wa Zambia uliopita haukuwa huru na wa haki je uchaguzi wa Tanzania upi ulishawahi kuwa wa haki na mkasema wazi huu wa 2020 ndio ulitia fora kwa wizi.
(Cha kuchekesha Lungu incumbent anasema kaibiwa kura)
2. Eti wanasema edger Lungu alikuwa dictator je magufuli mbona hamjawahi kumtangaza dictator wakati udictor wa magufuli Lungu akasome.
1. Uchaguzi wa Zambia uliopita haukuwa huru na wa haki je uchaguzi wa Tanzania upi ulishawahi kuwa wa haki na mkasema wazi huu wa 2020 ndio ulitia fora kwa wizi.
(Cha kuchekesha Lungu incumbent anasema kaibiwa kura)
2. Eti wanasema edger Lungu alikuwa dictator je magufuli mbona hamjawahi kumtangaza dictator wakati udictor wa magufuli Lungu akasome.