Chenel ten ni wanafiki Sana muda huu kwenye taarifa yao ya habari wamesema mambo mawili ya kinafiki.
1. Uchaguzi wa Zambia uliopita haukuwa huru na wa haki je uchaguzi wa Tanzania upi ulishawahi kuwa wa haki na mkasema wazi huu wa 2020 ndio ulitia fora kwa wizi.
(Cha kuchekesha Lungu incumbent anasema kaibiwa kura)
2. Eti wanasema edger Lungu alikuwa dictator je magufuli mbona hamjawahi kumtangaza dictator wakati udictor wa magufuli Lungu akasome.
Mwisho wa siku damu ya watu ikawa juu ya kichwa chake. Akafa ndani ya miezi mitatu. Alichagua kifo ili ashinde uchafuzi. JPMChenel ten ni wanafiki Sana muda huu kwenye taarifa yao ya habari wamesema mambo mawili ya kinafiki.
1. Uchaguzi wa Zambia uliopita haukuwa huru na wa haki je uchaguzi wa Tanzania upi ulishawahi kuwa wa haki na mkasema wazi huu wa 2020 ndio ulitia fora kwa wizi.
(Cha kuchekesha Lungu incumbent anasema kaibiwa kura)
2. Eti wanasema edger Lungu alikuwa dictator je magufuli mbona hamjawahi kumtangaza dictator wakati udictor wa magufuli Lungu akasome.
😅😅Wanaongopa kusema ya kwao.
#hii nchi imechezewa sana
Chanel ten,tbc na uhuru ni vichaa waliochangamka,wao ni wapo tu kama mazuzu wakiambiwa wainame wanainama,wakiambiwa wapigwe pi....pe wanakubaliChenel ten ni wanafiki Sana muda huu kwenye taarifa yao ya habari wamesema mambo mawili ya kinafiki.
1. Uchaguzi wa Zambia uliopita haukuwa huru na wa haki je uchaguzi wa Tanzania upi ulishawahi kuwa wa haki na mkasema wazi huu wa 2020 ndio ulitia fora kwa wizi.
(Cha kuchekesha Lungu incumbent anasema kaibiwa kura)
2. Eti wanasema edger Lungu alikuwa dictator je magufuli mbona hamjawahi kumtangaza dictator wakati udictor wa magufuli Lungu akasome.
Huo muda wa kutazama hiyo Chanel unautoa wap??