Chaneli ya Simba WhatsApp hakuna updates tangu jana saa 15:07 mchana

Youngblood

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
19,433
Reaction score
56,810
Inaonyesha huko simba hali si shwali kabisa, nasikia admin amekataa kuposti chochote

Tangu jana saa tisa mchana kilipotangazwa kikosi, mpaka sasa hakuna updates zozote, si half time, full time wala matokeo ya jumla.

Kwakweli naona huko klabuni hali si nzuri,afisa habari anapata wakati mgumu kuongea chochote, utaambia nini mashabiki kwa mpira ule.

Mwisho, pongezi nyingi ziwafikie mashabiki wenzangu wa Simba kwa kukataa kwenda uwanjani siku ya jana, ni hatua nzuri, kama viongozi wana akili watatuelewa.
 
Hata Samia hajaweka update yoyote kwa channel yake huko whatsapp, yaani tangu alipopata msosi wa pamoja na wale vijana hajapost tena.

Ndugu shabiki unadhani na Samia naye ana ugomvi na admn wa channel yake?
Umeelewa ninachoongea,sema tu unajifanya shabiki lialia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…