Changa la macho vyuo vya afya

Changa la macho vyuo vya afya

Jeremiah Stephin

Senior Member
Joined
Feb 6, 2014
Posts
118
Reaction score
124
Nacte imeorodhesha vyuo vya afya ambavyo vitatoa mafunzo kwa mwaka wa masomo 2014-2015 kwa ngazi ya cheti na stashahada.

vyuo hivyo ni vya serikali,taasisi za kidini na binafsi.
Utata unakuja kwasababu kuna baadhi ya vyuo vinatoa hayo mafunzo na havipo kwenye orodha mfano college of health pale Udom.
Na vyuo vingine vya binafsi tayari vimeshatoa form za maombi ile hali serikali(nacte)imesema maombi yafanyike kwa udahili wa pamoja (central admission system..

Sasa hapo ni utata zaidi tufuate kipi?form za vyuo au central admission system?
vipi kwa wale ambao wameshatuma maombi tayari kupitia hizo form?
ni utata mtuuupuuuu
 
YAn ni utata juu ya utata wapo waliotuma maombi vyuo vya binafsi na wameshakubaliwa sa sijui itakuaje?
 
Shughuli nyingine ni sehemu vinapatika vyuo hivyo... Vya tabora vinaonywesha viko mara...!!!
 
gharama za maombi juu yako,hapo ndipo utata unapo zidi,maisha ya kitanzania situna yajua jamani?
 
private inajitegemea na serikali wanajitegemea ukiomba wizarani lazima ulipie 30000 nasikia na ukiomba private utawalipa ela yao.so msichanganyikiwe wadogo zangu.kila raheli na application zenu.
 
private inajitegemea na serikali wanajitegemea ukiomba wizarani lazima ulipie 30000 nasikia na ukiomba private utawalipa ela yao.so msichanganyikiwe wadogo zangu.kila raheli na application zenu.

hapa umebugi meni...
 
Nacte imeorodhesha vyuo vya afya ambavyo vitatoa mafunzo kwa mwaka wa masomo 2014-2015 kwa ngazi ya cheti na stashahada.
vyuo hivyo ni vya serikali,taasisi za kidini na binafsi.
Utata unakuja kwasababu kuna baadhi ya vyuo vinatoa hayo mafunzo na havipo kwenye orodha mfano college of health pale udom.
Na vyuo vingine vya binafsi tayari vimeshatoa form za maombi ile hali serikali(nacte)imesema maombi yafanyike kwa udahili wa pamoja (central admission system..
Sasa hapo ni utata zaidi tufuate kipi?form za vyuo au central admission system?
vipi kwa wale ambao wameshatuma maombi tayari kupitia hizo form?
ni utata mtuuupuuuu

orodhesha vyuo binafsi
 
Awal ndo walkuwa washatoa form bt kwa sasa kila chuo binafsi kinawapatia maelekezo ambao tiyar walikuwa washa apply kupitia contacts zao :thumbup::thumbup:
 
korandoto college of health
sengerema clinical officers training college
kam college of health
mvumi clinical officers college
bugando n.k
 
korandoto college of health
sengerema clinical officers training college
kam college of health
mvumi clinical officers college
bugando n.k
Mkuu naomba unitumie link za vyuo vinavyotoa diploma ya udaktari vya serikali au ni-PM form za application na mie ni-apply aisee. Please, help me nina uhitaji kweli kweli. Nilimaliza form 6


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom