Changamkia ajira hiyo: Wanahitajika wafanyakazi.

Changamkia ajira hiyo: Wanahitajika wafanyakazi.

Sitachoka

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2011
Posts
3,030
Reaction score
1,306
TANGAZO LA KAZI HARAKA SANA.
TANURI MEDIA CAMPANY
Inawatangazia nafasi za kazi kwa
vijana watanzania (Jinsia zote) na
wenye elimu, sifa na Ujuzi na
wenye kujituma.
Vijana hawa watafanya kazi na
TANURI MEDIA COMPANY pamoja
na Media house nyingine zitakazo
shirikiana na TANURI MEDIA.
Sifa za mwambaji:-
Awe angalau na degree moja
katika fani zifuatazo.
1. Sayansi ya jamii ( sociology)
2. Sayansi ya siasa na utawala
(political science and public
administration)
3. Sayansi ya siasa na uhusiano
wa kimataifa
(political science and international
relation)
4. Sanaa na historia (BA History)
5. Sanaa na utamaduni (BA art
and Culture)
6. Sanaa na mawasiliano ya umma
(BA mass communication)
7. Biashara na utawala (BBA,
business administration)
Jumla ya Vijana wanaohitajika ni
15.
Katika hili maslahi na utashi wa
kisiasa hayatazingitiwa ila
TALUMA ya Muhitaji.
Maslahi mazuri yatatolewa kwa
watakaofaulu udahili.
Maombi na CV vitumwe kwa
anuani hii hapa
Kabla ya tarehee 15 mwazi wa
tano.
(Kwa maelezo zaidi piga simu kwa
C.E.O-TANURI MEDIA COMPANY)
TANURI MEDIA COMPANY
Media and insemination of
information
P.O. Box 104655
DAR ES SALAAM TANZANIA
.
+255 784 26 64 30
tzmedia25@gmail.com
www.tanurilafikra.com
 
mbona tuliosoma medicine mnatubagua? Hamuhitaji daktari wa kampuni?
 
B.com inahusika hapo mkuu maana nimeona BBA ambayo ni sawa na B.com
 
mbona maelezo hayajitoshelezi? kwa hizo degree pprograms ulizotaja,waombaji wanatakiwa wajue ni kazi gani wana-apply kwa sababu kuna watu wanakuita kwenye interview lakini unakuta ni kazi ya ajabu...be clear,ni kazi gani hao watu watatakiwa kufanya,duties zao,na kadhalika....nawasilisha
 
B.A.education je? History ni teaching Subject sifai?
 
iyp email mbona inarudisha failure notice ??
 
TANGAZO LA KAZI HARAKA SANA.
TANURI MEDIA CAMPANY
Inawatangazia nafasi za kazi kwa
vijana watanzania (Jinsia zote) na
wenye elimu, sifa na Ujuzi na
wenye kujituma.
Vijana hawa watafanya kazi na
TANURI MEDIA COMPANY pamoja
na Media house nyingine zitakazo
shirikiana na TANURI MEDIA.
Sifa za mwambaji:-
Awe angalau na degree moja
katika fani zifuatazo.
1. Sayansi ya jamii ( sociology)
2. Sayansi ya siasa na utawala
(political science and public
administration)
3. Sayansi ya siasa na uhusiano
wa kimataifa
(political science and international
relation)
4. Sanaa na historia (BA History)
5. Sanaa na utamaduni (BA art
and Culture)
6. Sanaa na mawasiliano ya umma
(BA mass communication)
7. Biashara na utawala (BBA,
business administration)
Jumla ya Vijana wanaohitajika ni
15.
Katika hili maslahi na utashi wa
kisiasa hayatazingitiwa ila
TALUMA ya Muhitaji.
Maslahi mazuri yatatolewa kwa
watakaofaulu udahili.
Maombi na CV vitumwe kwa
anuani hii hapa
Kabla ya tarehee 15 mwazi wa
tano.
(Kwa maelezo zaidi piga simu kwa
C.E.O-TANURI MEDIA COMPANY)
TANURI MEDIA COMPANY
Media and insemination of
information
P.O. Box 104655
DAR ES SALAAM TANZANIA
.
+255 784 26 64 30
tzmedia25@gmail.com
www.tanurilafikra.com
hamna source ya hili tangazo?
 
Hili tangazo mbona limekaa 'ki-bijampola' zaidi? Ntarudi baadae, I hope maswali yaliyoulizwa yatakuwa yamejibiwa. Otherwise, asante kwa tangazo.
 
TANGAZO LA KAZI HARAKA SANA.
TANURI MEDIA CAMPANY
Inawatangazia nafasi za kazi kwa
vijana watanzania (Jinsia zote) na
wenye elimu, sifa na Ujuzi na
wenye kujituma.
Vijana hawa watafanya kazi na
TANURI MEDIA COMPANY pamoja
na Media house nyingine zitakazo
shirikiana na TANURI MEDIA.
Sifa za mwambaji:-
Awe angalau na degree moja
katika fani zifuatazo.
1. Sayansi ya jamii ( sociology)
2. Sayansi ya siasa na utawala
(political science and public
administration)
3. Sayansi ya siasa na uhusiano
wa kimataifa
(political science and international
relation)
4. Sanaa na historia (BA History)
5. Sanaa na utamaduni (BA art
and Culture)
6. Sanaa na mawasiliano ya umma
(BA mass communication)
7. Biashara na utawala (BBA,
business administration)
Jumla ya Vijana wanaohitajika ni
15.
Katika hili maslahi na utashi wa
kisiasa hayatazingitiwa ila
TALUMA ya Muhitaji.
Maslahi mazuri yatatolewa kwa
watakaofaulu udahili.
Maombi na CV vitumwe kwa
anuani hii hapa
Kabla ya tarehee 15 mwazi wa
tano.
(Kwa maelezo zaidi piga simu kwa
C.E.O-TANURI MEDIA COMPANY)
TANURI MEDIA COMPANY
Media and insemination of
information
P.O. Box 104655
DAR ES SALAAM TANZANIA
.
+255 784 26 64 30
tzmedia25@gmail.com
www.tanurilafikra.com

I'm king kong wa tatu,I'm married with three creeds,I'm politician heaving noleji in politiko sayansi and intaneshino rileshenishipu,can you apply for me this post? Remember I'm kappabetta member,I'm verry glad I'm vere sorry to apply this post! Thank me you!
 
Tangazo la kazi halina "Job Description" ?
 
Back
Top Bottom