Changamkieni huu mchongo wadau unaweza kuwainua kiuchumi

Changamkieni huu mchongo wadau unaweza kuwainua kiuchumi

Nyuki Mdogo

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2021
Posts
4,134
Reaction score
10,644
Habari wana economics?

Kuna ishu moja nataka ku share na nyie kwa mtakaoona inafaa mnaweza fanyia kazi.

Nimetonywa na mdau wangu alieko kitengo flani cha Polisi huku DSM, kwamba wanakaribia kuuza pikipiki zilizotelekezwa na watu vituoni (Bila shaka huwa mnaziona zilivyo jazana kwenye yadi zao vituoni)

Sasa hizo mashine huwa zinauzwa laki 2 mpaka 3. Zinahitaji tu marekebisho kidogo sababu ya kukaa muda mrefu kisha zinaingia barabarani.

Fuatilieni Hilo Dili huwa ni la kila mwaka...

PM sihitaji mtu, sina taarifa zaidi ya hii
 
habari wana economics?

Kuna ishu moja nataka ku share na nyie kwa mtakaoona inafaa mnaweza fanyia kazi.

Nimetonywa na mdau wangu alieko kitengo flani cha Polisi huku Dsm, kwamba wanakaribia kuuza pikipiki zilizotelekezwa na watu vituoni (Bila shaka huwa mnaziona zilivyo jazana kwenye yadi zao vituoni)

sasa hizo mashine huwa zinauzwa laki 2 mpaka 3. zinahitaji tu marekebisho kidogo sababu ya kukaa muda mrefu kisha zinaingia barabarani.

Fuatilieni Hilo Dili huwa ni la kila mwaka...

Pm sihitaji mtu sina taarifa zaidi y hii

Dili la ngumu kumeza hilo.
 
Back
Top Bottom