changamoto!changamoto!changamo to!

changamoto!changamoto!changamo to!

x - mas

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
931
Reaction score
612
amani iwe nanyi wapendwa wana jf,naomba kujuzwa kwa jambo lifuatalo;hivi kwa mfano mtu kafanya kazi kwa muda mrefu na mafundi umeme wakubwa akiwa kama msaadizi au 'kibarua' wa fundi kama ilivyo zoeleka hatimaye na yeye kupata ujuzi mkubwa katika tasnia hiyo Je,mtu huyo anaweza akawa fundi mtaani yeye kama yeye bila kuwa na cheti kinacho thibitisha utaalam wake au kuna sheria ambayo inamzuia mtu huyo kufanya ufundi pasi na cheti?Nakama sheria kama hiyo ipo je,mtu huyo atumie njia ipi mbadala itakayo mwezesha apate cheti cha uthibitisho wa utaalam wake bila kwenda kuchukua mafunzo katika chuo cha ufundi kwani ujuzi tayari anao ila tatizo hana cheti.
 
amani iwe nanyi wapendwa wana jf,naomba kujuzwa kwa jambo lifuatalo;hivi kwa mfano mtu kafanya kazi kwa muda mrefu na mafundi umeme wakubwa akiwa kama msaadizi au 'kibarua' wa fundi kama ilivyo zoeleka hatimaye na yeye kupata ujuzi mkubwa katika tasnia hiyo Je,mtu huyo anaweza akawa fundi mtaani yeye kama yeye bila kuwa na cheti kinacho thibitisha utaalam wake au kuna sheria ambayo inamzuia mtu huyo kufanya ufundi pasi na cheti?Nakama sheria kama hiyo ipo je,mtu huyo atumie njia ipi mbadala itakayo mwezesha apate cheti cha uthibitisho wa utaalam wake bila kwenda kuchukua mafunzo katika chuo cha ufundi kwani ujuzi tayari anao ila tatizo hana cheti.

Kinacho Takiwa ni Output na si vyeti, kwani vyeti ndo vinafanya kazi? Mimi nina mpango kampuni yangu sitaajiri mtu kwa sababu ya elimu yake bali kwa sababu ya kile anacho deriver,

Thomas Edsono wakati anagundua Balbu hakuwahi kujua hata kama kuna shule, Michael Dell hakuwa na vyeti, Bongo ndo Bado watu wanaendekeza sana vyeti, na mimi napo ngeza mashirika yanayo ajiri watu bila kukuomba vyeti bali CV yako, Vyeti mtaani vinatengenezwa hadi vya Chuo kikuu.
 
Baadhi ya taaluma zinategemea pande mbili za nadharia na vitendo, ajiunge angalau veta akapate nadharia.

Umeme kupita kwenye mwili ni moja ya vitu vibaya kabisa vinavyoweza kuzuilika.
 
Back
Top Bottom