Wang Shu
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 2,562
- 3,715
Mtaji,maarifa na uzoefu ni vitu vitakufanya uiyone biashara ni rahisi kufanya.
Kuna wakati unajalibu kusimama peke yako katika biashara unajikuta unayumba katika vitu kadhaa.
Unatamani ungekuwa na mtu (partner) wa kushirikiana nae kwa kila kitu.
Kushirikiana kiuwendeshaji, kuweka pamoja mtaji ukawa mkubwa na kimawazo..
Swala linakuja je utaendana na partner wako kibiashara bila biashara husika kufa??
Haya ni machache kidogo nimeyaona kwa biashara ambazo zina share za zaidi ya mtu 1
⏩Matumizi,
Kila mtu ana matumizi yake, musipowekeana mipaka ya kiasi gani cha kujikimu kwa siku, wiki au mwezi kila mtu atajichukulia atakavyo bila kuzingatia faida na hasara.
⏩Uaminifu,
Ni kitu kigumu kwa partners kuwa na imani sawa na biashara ikishakua kubwa mmoja kati yao fikra zinatakuja anawezaje kujinufaisha binafsi atawaza kuchota pesa akaanzishe biashara mpya.
⏩Kujimilikisha,
Kuchangiana ni kuzuri sana maana mnaweka nguvu pamoja na kufanya kazi kwa pamoja, lakini yule ambae amezidi mchango atajiona yeye ndio mmiliki halali wa biashara ataindesha atakavyo huna la kumwambia amekuzidi share tatizo linaanzia hapo.
⏩Mengine wachangiaji watatupa uzoefu wao biashara za partners wameona nini?
Nawasilisha
Kuna wakati unajalibu kusimama peke yako katika biashara unajikuta unayumba katika vitu kadhaa.
Unatamani ungekuwa na mtu (partner) wa kushirikiana nae kwa kila kitu.
Kushirikiana kiuwendeshaji, kuweka pamoja mtaji ukawa mkubwa na kimawazo..
Swala linakuja je utaendana na partner wako kibiashara bila biashara husika kufa??
Haya ni machache kidogo nimeyaona kwa biashara ambazo zina share za zaidi ya mtu 1
⏩Matumizi,
Kila mtu ana matumizi yake, musipowekeana mipaka ya kiasi gani cha kujikimu kwa siku, wiki au mwezi kila mtu atajichukulia atakavyo bila kuzingatia faida na hasara.
⏩Uaminifu,
Ni kitu kigumu kwa partners kuwa na imani sawa na biashara ikishakua kubwa mmoja kati yao fikra zinatakuja anawezaje kujinufaisha binafsi atawaza kuchota pesa akaanzishe biashara mpya.
⏩Kujimilikisha,
Kuchangiana ni kuzuri sana maana mnaweka nguvu pamoja na kufanya kazi kwa pamoja, lakini yule ambae amezidi mchango atajiona yeye ndio mmiliki halali wa biashara ataindesha atakavyo huna la kumwambia amekuzidi share tatizo linaanzia hapo.
⏩Mengine wachangiaji watatupa uzoefu wao biashara za partners wameona nini?
Nawasilisha