Kai_andrew
New Member
- Oct 10, 2023
- 4
- 1
Tukizingatia mwezi wa kumi na Moja Kila mtanzania aliyetimiza vigezo vya kupiga kura anayo haki ya kupiga kura hapa Tanzania, swali langu ni je!
Serikali imechukua mkakati Gani wa kukabiliana na hii changamoto kwa wanachuo ambayo katika kipindi hiki Cha uandikishwaji katika daftari la wapiga kura wanavyuo wako majumbani
Lakini kipindi ambacho ni cha kupiga kura wanavyuo watakuwa vyuoni na ikizingatiwa mtu anapiga kura mahali alipojiandikishia?
Serikali imechukua mkakati Gani wa kukabiliana na hii changamoto kwa wanachuo ambayo katika kipindi hiki Cha uandikishwaji katika daftari la wapiga kura wanavyuo wako majumbani
Lakini kipindi ambacho ni cha kupiga kura wanavyuo watakuwa vyuoni na ikizingatiwa mtu anapiga kura mahali alipojiandikishia?