M Moudy jr New Member Joined Aug 23, 2024 Posts 2 Reaction score 2 Aug 26, 2024 #1 Jaman hii shida iko mkoa wa Tanga wilaya ya Kilindi kijiji cha Masagalu kata ya Masagalu, wanawake wanaumia kwa ukosefu wa maji, maji yenyewe ni ya shida na yako mbali. Hivi hawa viongozi wanafanya kazi gani?
Jaman hii shida iko mkoa wa Tanga wilaya ya Kilindi kijiji cha Masagalu kata ya Masagalu, wanawake wanaumia kwa ukosefu wa maji, maji yenyewe ni ya shida na yako mbali. Hivi hawa viongozi wanafanya kazi gani?
min -me JF-Expert Member Joined Jul 20, 2022 Posts 23,322 Reaction score 64,738 Aug 26, 2024 #2 Mama anaubonda mwingi Tlaatlaah ChoiceVariable , wananchi kila kona wanabubujikwa na machozi ya furaha.
Mama anaubonda mwingi Tlaatlaah ChoiceVariable , wananchi kila kona wanabubujikwa na machozi ya furaha.
M Moudy jr New Member Joined Aug 23, 2024 Posts 2 Reaction score 2 Aug 26, 2024 Thread starter #3 min -me said: Mama anaubonda mwingi Tlaatlaah ChoiceVariable , wananchi kila kona wanabubujikwa na machozi ya furaha. Click to expand... Kero za maji zimekuw kubwa san
min -me said: Mama anaubonda mwingi Tlaatlaah ChoiceVariable , wananchi kila kona wanabubujikwa na machozi ya furaha. Click to expand... Kero za maji zimekuw kubwa san
shuka chini JF-Expert Member Joined Feb 27, 2024 Posts 842 Reaction score 1,928 Aug 26, 2024 #4 Huko ndiko mnapokata mauno ya kukubalika kwa chama sasa muendelee kukata mauno hadi mfe na kiu mkifa akili zitawakaa sawa.
Huko ndiko mnapokata mauno ya kukubalika kwa chama sasa muendelee kukata mauno hadi mfe na kiu mkifa akili zitawakaa sawa.