Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,201
- 236
nziku
hiyo ni biashara halali kabisa
kwahiyo kama mtu anataka programu za hivyo kuweza kusimamia shuguli zake zaoffice au hata komputer moja inawezekana
Shy, nimekuelewa, nashukuru kwamba tech hiyo imechelewa kuja mpaka tumeweza kugundua madudu yaliyokwisha wekwa wazi. Hata hivyo, bado ninaamini kwamba huu ni wakati ambao Mungu ameamua kuweka wazi ufisadi. Hivyo hakuna atakaye zuia.
MUNGU WA MBINGUNI IPONYE NCHI YETU DHIDI YA UFISADI.
Pale Ninepoenda Kufanya Kazi Sitambui Na Sintotambua Ufisadi Wa Mtu Au Watu Mimi Naenda Kufanya Kazi Niliyotumwa Au Kuelekezwa Kufanya
Mengine Yote Naacha Nyumba Kwa Sababu Hayako Katika Makubaliano Yetuya Kazi
Kama Yeye Ni Fisadi Atajijuu Ni Mambo Yake Binafsi
Tumeshazima Hoja
Mwingine Nani ?
Aje Nimetunisha Kifua
Lunyungu ?
Hapo Kwako Umeme Umesharudi ?? Auunaendeleakulia Na Tanesco?