Changamoto kwa Tume ya katiba

ntemi masali

Senior Member
Joined
May 20, 2013
Posts
136
Reaction score
26
Katiba ni roho ya taifa lolote duniani,Watanzania tuko kwenye mchakato wa katiba mpya na hatua ya mabaraza ya wilaya na mabaraza yenye malengo na mitazamo inayofanana kujadili rasimu na kutoa mapendekezo na maoni yao kuhusu rasimu hiyo ya kwanza ya katiba mpya ,katika hali ya kushangaza ccm wamekuwa wakibeza namna chadema walivyokuwa wakijadili rasimu hiyo pamoja na wanachama wao kwa kutumia mikutano ya nje ya ukumbi ninachokijua mimi ni kwamba tofauti ni mahali tu kuwa wengine wameweza kukaa ukumbini ndani kwa kuwa ni wachache na wengine wamekosa ukumbi kwa uwingi wao ndio tofauti ya ccm na chadema je? wanajamvi mnasemaje,
 
mchakato mzima ni matatizo(technical problem)tena majority of tanzanian they dont know constitution..so public education was needed but it was within short time..then politician they just take over everything so maoni ya watu yanafunikwa na ya wanasiasa....ok we ll have constitution (legal order)..but we ll lack constitutionalism#mtazamoTU#non-partisan
 
Utaratibu wa kuunda mabaraza unaelekezaje? Mabaraza ya kujadili rasimu ya katiba yanaundwa na wajumbe wake wanaorodheshwa, Je Chadema wamefuata utaratibu huu? Mikutano ya hadhara inayoendeshwa na CDM ni Mabaraza?
 
cha msingi ni maoni ya wananchi wengi,haijalishi yanatolewa wapi!,katiba ni mali ya wananchi,na wananchi ndo sisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…