kwa maisha ya sasa ni bora ujiajiri kaka tumia ubunifu na elimu yako vizuri, suala la mtaji itakubidi uanze na kile kidogo ulicho nacho, wengi waliofanikiwa walianza na kidogo wakakiendeleza, kupata mikopo nowdays masharti magumu especially ukiwa ujaanza, cha muhimu mtangulize Mungu katika maisha yako!