Changamoto tunazopata katika mchakato wa kuomba namba ya simu

Changamoto tunazopata katika mchakato wa kuomba namba ya simu

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Kupata namba ya simu ya demu ni mchakato hasa kwa wale wazee wa kujishtukia

Juzi kati nikasafiri toka Dom kwenda Mwanza. Pembeni nina pis kali anashuka Buhongwa. Wote tulichangamka sana na mastori ya kila aina. Mara chache sana tulikuwa kimya ukiacha ile mida ya kusinzia. Drinks na bites tuligharamia kwa zamu.

Nikajua hii pisi nitajaribu bahati yangu next time muhimu nipate namba. Nikiwa na uhakika siwezi kunyimwa namba sababu tulishakuwa washkaji sana.

"Niachie namba ntakuchek" nikamuomba kwa sauti ya chini huku nikimpa simu yangu aiandike. Daah bila kutegemea yule manzi akanijibu kwa sauti kubwa " Asaa namba yangu ya nini,nyie wanaume wasumbufu bana,siwezi hilo sahau"

Abiria jirani wakageuka kuona changamoto nazopitia. Kwa kweli iliniuma sana,nilijisikia soo hatari. Mpaka leo huwa inaniuma.

Mwingine aliniomba urafiki FB. Nikamuona nitanue huduma kama Gwaji Boy. Nikamzamia inbox kumuomba namba. Akapiga picha yale mazungumzo akaweka kwenye page yake kulalamikia wanaume wanaomsumbua kuomba namba. Nilimpigia magoti akaifuta ile post.

Kwa hiyo watia nia tunapata changamoto nyingi katika kuomba namba.

Tufanye nini kutatua changamoto hizi?
 
Changamoto ni wewe wa kujistukia..
Huyo ulie safiri nae alikuwa ready kukupa
Ulishindwa Tu kumuelewa..ungempa simu akaandika mwenyewe..

Usiseme naomba namba ya simu..

We sema namba yako ni Tigo au voda?Hebu andika hapa huku unampa simu..

Next time unaweza mwambia nakutumia link Fulani hivi watsaa andika namba hapa..
Hizo link zihusiane na mazungumzo yenu off course..

Ukishindwa kabisa mwambie hebu ni beep kwanza siioni simu yangu
 
Mmhh changamoto zipo kweli
Haswa kama wewe nimtu ambaye una haya sana .. Na sio muongeaji sana

But mleta mada katika uombaji namba na utongozaji kukubaliwa na kukataliwa mara nyingi huwa inategemea na aproach yako jinsi unavyo jiwasilisha kwa mlengwa kimaongezi "" yakupasa uwe na maneno yenye asili ya ulimbo ili mlengwa awe anatamani kuendelea kukusikia ukiongea au awe ana tamani kuendelea kuonana na wewe katika maisha yake

Sio unaongea utopolo then utegemee kupewa namba kirahisi

La mwisho ningependa kukushauri kwamba Epuka sana kutongoza wanawake. Ambao wana tabia za kiswazi watakuja kukuaibisha mchana kweupe ... Imagine kama huyo mwanamke wa Fb alivyotaka kukudhalilisha " .....
 
Changamoto ni wewe wa kujistukia..
Huyo ulie safiri nae alikuwa ready kukupa
Ulishindwa Tu kumuelewa..ungempa simu akaandika mwenyewe..

Usiseme naomba namba ya simu..

We sema namba yako ni Tigo au voda?Hebu andika hapa huku unampa simu..

Next time unaweza mwambia nakutumia link Fulani hivi watsaa andika namba hapa..
Hizo link zihusiane na mazungumzo yenu off course..

Ukishindwa kabisa mwambie hebu ni beep kwanza siioni simu yangu
Bro weweni legend, hawa vijana wa saizi sijui wanafeli wapi.
 
Changamoto ni wewe wa kujistukia..
Huyo ulie safiri nae alikuwa ready kukupa
Ulishindwa Tu kumuelewa..ungempa simu akaandika mwenyewe..

Usiseme naomba namba ya simu..

We sema namba yako ni Tigo au voda?Hebu andika hapa huku unampa simu..

Next time unaweza mwambia nakutumia link Fulani hivi watsaa andika namba hapa..
Hizo link zihusiane na mazungumzo yenu off course..

Ukishindwa kabisa mwambie hebu ni beep kwanza siioni simu yangu
Mbona leo nacheka sana humu jf
 
Kupata namba ya simu ya demu ni mchakato hasa kwa wale wazee wa kujishtukia

Juzi kati nikasafiri toka Dom kwenda Mwanza. Pembeni nina pis kali anashuka Buhongwa. Wote tulichangamka sana na mastori ya kila aina. Mara chache sana tulikuwa kimya ukiacha ile mida ya kusinzia. Drinks na bites tuligharamia kwa zamu.

Nikajua hii pisi nitajaribu bahati yangu next time muhimu nipate namba. Nikiwa na uhakika siwezi kunyimwa namba sababu tulishakuwa washkaji sana.

"Niachie namba ntakuchek" nikamuomba kwa sauti ya chini huku nikimpa simu yangu aiandike. Daah bila kutegemea yule manzi akanijibu kwa sauti kubwa " Asaa namba yangu ya nini,nyie wanaume wasumbufu bana,siwezi hilo sahau"

Abiria jirani wakageuka kuona changamoto nazopitia. Kwa kweli iliniuma sana,nilijisikia soo hatari. Mpaka leo huwa inaniuma.

Mwingine aliniomba urafiki FB. Nikamuona nitanue huduma kama Gwaji Boy. Nikamzamia inbox kumuomba namba. Akapiga picha yale mazungumzo akaweka kwenye page yake kulalamikia wanaume wanaomsumbua kuomba namba. Nilimpigia magoti akaifuta ile post.

Kwa hiyo watia nia tunapata changamoto nyingi katika kuomba namba.

Tufanye nini kutatua changamoto hizi?
hakuna jambo gumu kufanya kwasasa kama kutongoza hahahahaaaaa
 
Changamoto ni wewe wa kujistukia..
Huyo ulie safiri nae alikuwa ready kukupa
Ulishindwa Tu kumuelewa..ungempa simu akaandika mwenyewe..

Usiseme naomba namba ya simu..

We sema namba yako ni Tigo au voda?Hebu andika hapa huku unampa simu..

Next time unaweza mwambia nakutumia link Fulani hivi watsaa andika namba hapa..
Hizo link zihusiane na mazungumzo yenu off course..

Ukishindwa kabisa mwambie hebu ni beep kwanza siioni simu yangu
Hahahah we jamaaa hatari sana
 
Changamoto ni wewe wa kujistukia..
Huyo ulie safiri nae alikuwa ready kukupa
Ulishindwa Tu kumuelewa..ungempa simu akaandika mwenyewe..

Usiseme naomba namba ya simu..

We sema namba yako ni Tigo au voda?Hebu andika hapa huku unampa simu..

Next time unaweza mwambia nakutumia link Fulani hivi watsaa andika namba hapa..
Hizo link zihusiane na mazungumzo yenu off course..

Ukishindwa kabisa mwambie hebu ni beep kwanza siioni simu yangu
hii nimeikubali,hapa lazima aandike
 
Back
Top Bottom