Changamoto ya ajira kwa waliosoma kozi za afya

Munio

Member
Joined
May 12, 2019
Posts
17
Reaction score
14
Hivi wakuu kutokana na changamoto ya ajira ambazo vijana wetu wanapitia nashangaa eti dokta au nesi haruhusiwi kufungua duka la dawa muhimu 🤣.

Hivi alieturoga nani? Tuwahaurumie vijana wetu jaman uwekwe utaratibu kuruhusu waliosoma afya kufanya hio huduma Kwa kufuata utaratibu ajira zenyew Kwa mwaka elfu 7 na hapo ni kada zote.

Kuna haja ya wizara kulipitia hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…