Changamoto ya Kiswahili cha Tanzania

benjykulture

New Member
Joined
May 1, 2023
Posts
4
Reaction score
1
Lakini kiswahili cha Tanzania hua vipi?

Kuna maneno hutumiwa pale hata ujaribu kutafuta maana kwenye internet huwezi pata. Kama mnabuni maneno basi pia muweka maana pale kwa internet tujue maana yake. Kuna maneno mengi natafuta maana lakini sipati kamwe🤷🏽‍♂️.
 
Do you know slangs? Sahau kupata slangs Kwa internet it's like wakenya makalio mnaita nyash😂 but hio haipo google
 
Kiswahili cha Tanzania ndio bora duniani. Ukisikia mtanzania ameongea Kiswahili na wewe hujamuelewa, mkimbilie umuombe akufafanulie.
 
Nimeona neno ndaki sijaelewa ni nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…