Changamoto ya kufanya maombi ya ajira katika Jeshi la Uhamiaji

Changamoto ya kufanya maombi ya ajira katika Jeshi la Uhamiaji

Great45

Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
9
Reaction score
7
Hello Wana JF

Nashida katika uombaji ajira hizi za Uhamiaji, nimesha fanikiwa atua ya awali ya kujisajiri Sasa changamoto inakuja pale ninapo taka kuendelea kuja taarifa zangu zingine hainiletei muongozo unao fuata, mwenye ufahamu zaidi naomba Msaada.

Screenshot_20241209-161416.jpg
Screenshot_20241209-161456.jpg
 
Back
Top Bottom