KERO Changamoto ya maji Malimbe, Mwanza

KERO Changamoto ya maji Malimbe, Mwanza

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

mandoga 19

New Member
Joined
Feb 13, 2025
Posts
2
Reaction score
0
Malimbe asilimia kubwa ya wakazi ni wanafunzi wa chuo cha SAUT kwa asilimia 75 haichukui zaidi ya KM 10 kwa mkazi yeyote wa malimbe kufikia ziwa victoria lakini changamoto ya maji ni kubwa sana inafikia zaidi ya siku 4 mpaka 5 maji hayatoki.

Tunaoba mlifanyie kazi hili tunaishi kwa taabu sana.
 
Back
Top Bottom