Changamoto ya michango ya harusi

Changamoto ya michango ya harusi

byakunu

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2016
Posts
583
Reaction score
1,318
Suala la michango ya harusi wenzangu limekua changamoto sana katika jamii na kwa baadhi ya wenzangu sijajua na nyie kwenu wana jamvi tusaidiane mawazo.

Wakati unaoa wewe unaomba michango na una post kwenye magroup ya classmates, work mates na majirani kuna watu watakuchangia na wengine hawata kuchangia watakausha kama hawajui na wanaweza left group bila kuku in bobo yan una kuta wana wana teleza kama mna ugomvi madai yao simu inajaa .

Linapo fika jambo la harusi kwao wanaanza kukuomba michango na kukutumia message kumi kumi kama wana kudai na wakati unakumbuka kabisa wakati wa harusi yako watu hao hao walikua wanajua na hawakukuchangia wala hawakujihusisha kwa lolote. ( binafsi mimi ninao mkeka wa watu walionichangia) naomba tusaidiane mawazo hizi shughuli za kijamii zinageukaje uhasama na uadui? sijui niliweke vipi hili jambo ila wakunielewa amesha nielewa
 
Unajua unapochanga sio kwamba unawekeza ili next time uje kuchangiwa. Hapana.

Naweza kukuchangia elfu 50 Ila wewe ukanichangia Laki 2.

Si wengine michango huwa hatutoi. Ni bora uje na excuse nina mgonjwa naomba mchango, hapo naweza jichanga. Kwasababu ugonjwa ni emergency ila harusi genye zenu zimewaambia mkajipanga.
 
Unajua unapochanga sio kwamba unawekeza ili next time uje kuchangiwa. Hapana.

Naweza kukuchangia elfu 50 Ila wewe ukanichangia Laki 2.

Si wengine michango huwa hatutoi. Ni bora uje na excuse nina mgonjwa naomba mchango, hapo naweza jichanga. Kwasababu ugonjwa ni emergency ila harusi genye zenu zimewaambia mkajipanga.
Hiyo sawa, sasa unakuta mtu kwanza siyo rafiki ako mlipotezana miaka 18 imepita baada ya shule au michezo au mlikaa mtaa mmoja mmekutana barabarani mkapeana namba baadae message ya mchango wa harusi hiyo.. na kwenye group lake kaanzisha unajikuta umo huwajui watu wengine.. wakati wewe unaoa yeye alisikia na alikua anajua kupitia watu mliosoma wote au mitandao ya kijamii na hakukuchangia wala hakumbuki.
 
Mimi siku ya harusi yangu sikuomba mchango hata kwa mtu mmoja kwasababu harusi ni yangu mimi,mke atakuwa wangu mimi, kuna jamaa yangu alitoa hela ya mchango mimi na yeye wala hatuongei nikasema rudisheni hela yake sina haja nayo.

Onyesha watu unaweza kufanya bila ya mchango wao.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Suala la Michango ya Harusi Ki TZ huwa sipendezwi nalo hususani namna shughuli nzima ya kukusanya michango inavyoendeshwa, Nimeshuhudia familia zikinuniana, marafiki na ndugu kununiana kisa michango, Binafsi huwa nachangia nikiwa nacho, nisipokuwa nacho huwa sichangii (Ila nipo tayari kwa Mualiko 🙂) na wala sijawahi kuwaza kuja kuomba mchango wa Harusi kwa mtu yoyote.
 
Kuna mmoja hapa dar tangu aoe harusi kubwa la Serena pale ni km amefungulia mrija ya uvujaji pesa, ana miaka ya 60 ivi maisha yake Tangu harusi anarejeshaga pesa za watu kiaina yaani bila kujijua kila weekend hakosi harusi za kwenda, alianza kuishi ilala imebidi azeekee Buza tena mkewe alishamrudishaga kijijini watoto wanasomea urithi wa babu na bibi upande wa mwanamke, now anataman watoto ila namba ya kuwaconvice wamuelewe ndo kazi. Asikwambie mtu ani maisha ya michango ya harusi ni mufirisi mbaya.
 
Suala la michango ya harusi wenzangu limekua changamoto sana katika jamii na kwa baadhi ya wenzangu sijajua na nyie kwenu wana jamvi tusaidiane mawazo.

Wakati unaoa wewe unaomba michango na una post kwenye magroup ya classmates, work mates na majirani kuna watu watakuchangia na wengine hawata kuchangia watakausha kama hawajui na wanaweza left group bila kuku in bobo yan una kuta wana wana teleza kama mna ugomvi madai yao simu inajaa .

Linapo fika jambo la harusi kwao wanaanza kukuomba michango na kukutumia message kumi kumi kama wana kudai na wakati unakumbuka kabisa wakati wa harusi yako watu hao hao walikua wanajua na hawakukuchangia wala hawakujihusisha kwa lolote. ( binafsi mimi ninao mkeka wa watu walionichangia) naomba tusaidiane mawazo hizi shughuli za kijamii zinageukaje uhasama na uadui? sijui niliweke vipi hili jambo ila wakunielewa amesha nielewa
Kwani wewe simu yako Haijahi mkuu ?

Huenda huu ndio muda muafaka wa simu kujaa na wewe ku-left group
 
Suala la Michango ya Harusi Ki TZ huwa sipendezwi nalo hususani namna shughuli nzima ya kukusanya michango inavyoendeshwa, Nimeshuhudia familia zikinuniana, marafiki na ndugu kununiana kisa michango, Binafsi huwa nachangia nikiwa nacho, nisipokuwa nacho huwa sichangii (Ila nipo tayari kwa Mualiko 🙂) na wala sijawahi kuwaza kuja kuomba mchango wa Harusi kwa mtu yoyote.
Ongea taratibu watakwambia manenivya mkosaji sasaivi.
 
Ukisema tuna left bila kukufata inbox ndiyo ni kweli tunaleft kwakua wakat unatuunanisha haukufata inbox ulijichukulia sheria mkononi
Alaf kuowa ni suala lako binafs andaa sherehe iliyo ndan ya uwezo wako usipangie budget hela ambayo ipo kweny mifuko ya watu ikitokea wametoa sawa ila wasipo toa isiwe nongwa.
kwenye suala la dharura kama maradhi au kifo hapo tutasaidia kwa hali na mali hata ikibidi kukopa, lakin harusi ni mpango wa muda mref hivyo jipange mwenyewe na usiwe kero kwa mtu.
 
Tena hii miezi wamechangamka na sms zao!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Suala la michango ya harusi wenzangu limekua changamoto sana katika jamii na kwa baadhi ya wenzangu sijajua na nyie kwenu wana jamvi tusaidiane mawazo.

Wakati unaoa wewe unaomba michango na una post kwenye magroup ya classmates, work mates na majirani kuna watu watakuchangia na wengine hawata kuchangia watakausha kama hawajui na wanaweza left group bila kuku in bobo yan una kuta wana wana teleza kama mna ugomvi madai yao simu inajaa .

Linapo fika jambo la harusi kwao wanaanza kukuomba michango na kukutumia message kumi kumi kama wana kudai na wakati unakumbuka kabisa wakati wa harusi yako watu hao hao walikua wanajua na hawakukuchangia wala hawakujihusisha kwa lolote. ( binafsi mimi ninao mkeka wa watu walionichangia) naomba tusaidiane mawazo hizi shughuli za kijamii zinageukaje uhasama na uadui? sijui niliweke vipi hili jambo ila wakunielewa amesha nielewa
Hata haohai mnaobebana began kwa began kuna mabogus kwa GRP wanaanza ishu ya kutaka adi kuchangia pesa ya 40 ya mtoto aliezaliwa.


Kiufupi hamna nafuu. Ukitoka lisherehe jiunge vicoba siku inafika kakope kiasi utachoweza rejesha kapike mle mnywe mlale sherehe kwishy.
 
Ukisema tuna left bila kukufata inbox ndiyo ni kweli tunaleft kwakua wakat unatuunanisha haukufata inbox ulijichukulia sheria mkononi
Alaf kuowa ni suala lako binafs andaa sherehe iliyo ndan ya uwezo wako usipangie budget hela ambayo ipo kweny mifuko ya watu ikitokea wametoa sawa ila wasipo toa isiwe nongwa.
kwenye suala la dharura kama maradhi au kifo hapo tutasaidia kwa hali na mali hata ikibidi kukopa, lakin harusi ni mpango wa muda mref hivyo jipange mwenyewe na usiwe kero kwa mtu.
Michango ina leta uhasama sana yan mtu hata hamjuani kiundani anavo kuganda uchange inaleta makasiriko sana.. Hapa ni kweli tujifunze tu Kila mtu kufanya jambo lake la hiyari lisilo la lazima kwa muda wake na kwa maandalizi yake,, ajipange kwa muda mrefu , hakafu michango omba kwa ndugu zako wa karibu mno au marafiki mlio shibana sana
 
Hata haohai mnaobebana began kwa began kuna mabogus kwa GRP wanaanza ishu ya kutaka adi kuchangia pesa ya 40 ya mtoto aliezaliwa.


Kiufupi hamna nafuu. Ukitoka lisherehe jiunge vicoba siku inafika kakope kiasi utachoweza rejesha kapike mle mnywe mlale sherehe kwishy.
Hizo za ma group watu hata hamjuani kazi kuchangishana misiba shangazi bibi kafariki nazo ni upumbavu sana🙂🙂🙂
 
Tena hii miezi wamechangamka na sms zao!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtu ana tengeneza broadcast list ndeefu anaweka hata namba zako za simu mbili basi akiruhusu hizo mvua za message kunyesha, mpaka una tamani umlime block kila upande
 
Mimi siku ya harusi yangu sikuomba mchango hata kwa mtu mmoja kwasababu harusi ni yangu mimi,mke atakuwa wangu mimi, kuna jamaa yangu alitoa hela ya mchango mimi na yeye wala hatuongei nikasema rudisheni hela yake sina haja nayo.

Onyesha watu unaweza kufanya bila ya mchango wao.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
[emoji2955][emoji2955] Dah Mkuu hata ukiwa billionaire na uwe guaranteed kuwa hautapata shida yoyote duniani lakin akitokea hata maskini akakuchangia buku kwenye sherehe yako hata kama iwe haujamuomba mchango lakini usiikatae hela yake ichukue maana kitendo Cha kumrudishia utamfanya ajiskie vibaya sana na ni dharau mbaya, hata kama huoni faida ya buku yake we ipokee alaf tafuta njia nzuri ya kumrudishia kwakua una uwezo unaweza kuntafutia hata zawaid yenye thamani kubwa Mara 10 zaid ya buku yake, hapo utakua umefanya la maana Sana.
 
Suala la Michango ya Harusi Ki TZ huwa sipendezwi nalo hususani namna shughuli nzima ya kukusanya michango inavyoendeshwa, Nimeshuhudia familia zikinuniana, marafiki na ndugu kununiana kisa michango, Binafsi huwa nachangia nikiwa nacho, nisipokuwa nacho huwa sichangii (Ila nipo tayari kwa Mualiko 🙂) na wala sijawahi kuwaza kuja kuomba mchango wa Harusi kwa mtu yoyote.
Mimi kuna classmate wangu kabisa wawili, kwangu hawakuchanga ila harusi zao walinitaka nichange tena tulikabana kwa mbinde sana na message zenye ukakasi na sikuchanga, sasa hivi hata kuview status wana pita tuu bila kusema neno, huu ndo uhasama wenyewe
 
Ukisema tuna left bila kukufata inbox ndiyo ni kweli tunaleft kwakua wakat unatuunanisha haukufata inbox ulijichukulia sheria mkononi
Alaf kuowa ni suala lako binafs andaa sherehe iliyo ndan ya uwezo wako usipangie budget hela ambayo ipo kweny mifuko ya watu ikitokea wametoa sawa ila wasipo toa isiwe nongwa.
kwenye suala la dharura kama maradhi au kifo hapo tutasaidia kwa hali na mali hata ikibidi kukopa, lakin harusi ni mpango wa muda mref hivyo jipange mwenyewe na usiwe kero kwa mtu.
Mimi kwa mwaka huchangia harusi moja tu tena kwa mtu wa karibu yangu sana. Kwani wakati naoa sikumsumbua mtu yeyote zaidi ya michango ya hiari kwa watu wangu wa karibu. Kiujumla huwa ni kero sana.
 
Back
Top Bottom