Changamoto ya pikipiki ndogo za mafuta maarufu kama 110

Changamoto ya pikipiki ndogo za mafuta maarufu kama 110

Brune

Member
Joined
Sep 11, 2024
Posts
31
Reaction score
92
Habari Wana jamii Forums.. samahani nilikuwa nahitaji kujua changamoto ya hizi pikipiki ndogo maarufu kama 110 zipi?

Upande wa spea na ubora wa pikipiki zenyewe kwa sababu sijawahi kumiliki haina hii.. asanteni na karibun kwa michanganuo yenu

images (11).jpeg
 
Habari Wana jamii Forums.. samahani nilikuwa nahitaji kujua changamoto ya hizi pikipiki ndogo maarufu kama 110 zipi?

Upande wa spea na ubora wa pikipiki zenyewe kwa sababu sijawahi kumiliki haina hii.. asanteni na karibun kwa michanganuo yenu

View attachment 3093328
Mkuu hiyo 110 ni make gani?
kama ni Honda au Yamaha nyingi zinakuwa imara sana hasa km utanunua mpya ni uhakika utadumu nayo.
Changamoto yake ni spare kidogo ni ghali kama kipato chako kidogo. Budget ya spare zake zinalingana na kuservice passo/Ist.

Zipo pia za kichina kina Sino utazipata kwa bei nafuu na spare zake sio ghali ila hazidumu km hizo za juu.
 
Mkuu hiyo 110 ni make gani?
kama ni Honda au Yamaha nyingi zinakuwa imara sana hasa km utanunua mpya ni uhakika utadumu nayo.
Changamoto yake ni spare kidogo ni ghali kama kipato chako kidogo. Budget ya spare zake zinalingana na kuservice passo/Ist.

Zipo pia za kichina kina Sino utazipata kwa bei nafuu na spare zake sio ghali ila hazidumu km hizo za juu.
Ninayaotaka kuchukua ni honlg kama hiyo pichan..
 

Attachments

  • images (12).jpeg
    images (12).jpeg
    24.8 KB · Views: 12
Fuel consumption ipoje nayo
40-60km kwa Lita moja,, ila hiyo ni kulingana na uendeshaji wako, uzito na Hali ya barabara. Itapanda kama hautojali service
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Shida Honda nyingi used na mi naogopa sana used.. maana yashanikuta,, sidhan kama 110 za Honda Bado wanatengeneza kwa sasa
Hapana hawatengenezi tena
Mwisho ilikuwa 2013
Kama ukipata zilizotoka japan sawa ila ukimvua mtu huko changamoto zipo
 
Niliwahi miliki pkpk ya hivi miaka 2010 aina ya Nagaki. Ni nzuri kama unaitumia maeneo ya mijini na sehem tambarare, milima mikali inateseka. Ilikuwa unaenda 55km/L.
Changamoto yake ni kuwa body parts zake nyingi ni plastics.

Ukiijali service utaitumia Kwa muda mrefu
 
Niliwahi miliki pkpk ya hivi miaka 2010 aina ya Nagaki. Ni nzuri kama unaitumia maeneo ya mijini na sehem tambarare, milima mikali inateseka. Ilikuwa unaenda 55km/L.
Changamoto yake ni kuwa body parts zake nyingi ni plastics.

Ukiijali service utaitumia Kwa muda mrefu
Shukran kwa maelezo mkuu
 
Back
Top Bottom