Changamoto ya upataji wa lessen

Changamoto ya upataji wa lessen

stevennelson

Member
Joined
Sep 29, 2024
Posts
14
Reaction score
12
Mi nmeend TRA kukata lessen sasa wanataka EFD kutoka seem nliyosoma nmerudi chuo wanasema izo zilifutika mana toka nimalize ilikua mwaka jana na lessen nmeend kukata mwaka huu naiyo ishu ya tra yakutaka EFD wameianzisha siku so nyingi nafanyaje kwa wazoefu msaada
 
Mi nmeend TRA kukata lessen sasa wanataka EFD kutoka seem nliyosoma nmerudi chuo wanasema izo zilifutika mana toka nimalize ilikua mwaka jana na lessen nmeend kukata mwaka huu naiyo ishu ya tra yakutaka EFD wameianzisha siku so nyingi nafanyaje kwa wazoefu msaada
Kunja km 200,000 hivi sogea pale ubaoni kiboss mkamatishe kijana mmoja njaa njaa mwambie unataka leseni ajaze madaraja yote mpaka yasiyokuwepo mwambie ni ya haraka sana umekata ticket ya ndege ya kesho asubuhi una safari ya ujerumani kwa hio afanye chap uipate leo leo, jioni mbali umeipata leseni niamini mimi
 
Kunja km 200,000 hivi sogea pale ubaoni kiboss mkamatishe kijana mmoja njaa njaa mwambie unataka leseni ajaze madaraja yote mpaka yasiyokuwepo mwambie ni ya haraka sana umekata ticket ya ndege ya kesho asubuhi una safari ya ujerumani kwa hio afanye chap uipate leo leo, jioni mbali umeipata leseni niamini mimi
Sio rahisi mkuu kwa Sasa mambo yamebadilika sasa hivi leseni na usajili wa magari unafanyika online kupitia mfumo wa Taxpayer portal na mhusika ndio anaomba yeye mwenyewe au kwa kumpa mtu credentials zake..

As you know system hainaga kupindisha mpaka ukamilshe vitu vinavyohitajika ndio uweze kupata leseni.
 
Sio rahisi mkuu kwa Sasa mambo yamebadilika sasa hivi leseni na usajili wa magari unafanyika online kupitia mfumo wa Taxpayer portal na mhusika ndio anaomba yeye mwenyewe au kwa kumpa mtu credentials zake..

As you know system hainaga kupindisha mpaka ukamilshe vitu vinavyohitajika ndio uweze kupata leseni.
Hakuna mkate mgumu mbele ya Chai kwa wewe elewa hivyo unapoona pagumu kuna wenzio wanapita humo humo sio kila gari linapita kwenye dimbwi la tope ila yapo magari yanapita wewe unakuja na IST yako utataga mimi nakuja na FORD imefanyiwa pimping za kutosha natembea kwa hio usifananishe
 
Back
Top Bottom