stevennelson
Member
- Sep 29, 2024
- 14
- 12
Mi nmeend TRA kukata lessen sasa wanataka EFD kutoka seem nliyosoma nmerudi chuo wanasema izo zilifutika mana toka nimalize ilikua mwaka jana na lessen nmeend kukata mwaka huu naiyo ishu ya tra yakutaka EFD wameianzisha siku so nyingi nafanyaje kwa wazoefu msaada