Joseph isuna
New Member
- Jun 20, 2024
- 1
- 0
Naomba nifikishe changamoto ya wanafunzi wanaorudi masomoni baada ya kurejea chuoni.
Tunapitia magumu sana wakati wa kufanya usajili, kwani viongozi wengi hawawajibiki kabisa kutokana na kukosa mfumo maalumu unaoweza kujiendesha, mwanafunzi anaweza kuandika barua leo lkn mpaka kuja kuipata anakuwa amefanya kazi ya ziada.
Miezi mitatu sasa nimeandika barua zaidi ya nne lkn hakuna hata moja nilioweza kupata majibu. Muda mwingine unaambiwa haionekani, maana yake imepotea.
Nashauri ujumbe huu ufikie kwa Viongozi wasiowajibika kwani wanatengeneza sura mbaya na wimbi la kukosa wanafunzi bora wakati wa udahili kwa sababu mwanafunzi anapokuwa anakosa huduma mahususi sidhani kama anaweza kuishawishi jamii inayomzunguka kuweza kujiunga na chuo hicho specifically Udom.
Tunapitia magumu sana wakati wa kufanya usajili, kwani viongozi wengi hawawajibiki kabisa kutokana na kukosa mfumo maalumu unaoweza kujiendesha, mwanafunzi anaweza kuandika barua leo lkn mpaka kuja kuipata anakuwa amefanya kazi ya ziada.
Miezi mitatu sasa nimeandika barua zaidi ya nne lkn hakuna hata moja nilioweza kupata majibu. Muda mwingine unaambiwa haionekani, maana yake imepotea.
Nashauri ujumbe huu ufikie kwa Viongozi wasiowajibika kwani wanatengeneza sura mbaya na wimbi la kukosa wanafunzi bora wakati wa udahili kwa sababu mwanafunzi anapokuwa anakosa huduma mahususi sidhani kama anaweza kuishawishi jamii inayomzunguka kuweza kujiunga na chuo hicho specifically Udom.