Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 2,162
- 2,616
amina sana kaka tusichoke kusaidiana kaka.
Kaka pole sana kwa maswaibu waenga walisema ubinadamu kazi sana ipo siku uyo jamaa atakwama mana umemsaidia na kumtatulia matatizo yake lakini si kwamba matatizo kwa binadamu yanaisha kamwe mungu atakulipa kwa namna nyingine ila usichoke kusaidia kaka, kama mtu ana shida na hilo jambo lipo ndani ya uwezo wako saidia tu kaka mungu atakulipa kwa namna nyingine.Huu ni moja ya udhaifu wangu kiongozi napenda sana kusaidia kiasi kwamba mwisho wa siku najikuta napoteza marafiki.
Kuna mtu alikuwa anahitaji vitabu humu JF akatangaza kila kitabu atatoa elfu 10 alitaka vitatu...
Kaka pole sana kwa maswaibu waenga walisema ubinadamu kazi sana ipo siku uyo jamaa atakwama mana umemsaidia na kumtatulia matatizo yake lakini si kwamba matatizo kwa binadamu yanaisha kamwe mungu atakulipa kwa namna nyingine ila usichoke kusaidia kaka, kama mtu ana shida na hilo jambo lipo ndani ya uwezo wako saidia tu kaka mungu atakulipa kwa namna nyingine.
asante kaka pamoja wikiendi njemaNafahamu kuwa wema kamwe hauozi kiongozi. Tuko pamoja weekend njema aisee...!
Professional qualification ni professional za field aliesomea kwa mfano watu wa accounts watajaza CPA, watu wa procurement watajaza CPSP etc, kitu kama hichoKuna 1. Academic qualifications, 2. Professional qualifications, 3. Working and Training Experience. Hapo ni vitu kama vinaendana ila ni tofauti.
Kwenye udereva sehemu yake ni hiyo Professional qualifications. Hapo ndo utakuta maelezo na ukiweka gamba linakubali mkuu.
Yes!! Boss na maengineer wapo huko huko. Katika ile option pale kuna VETA, NIT, kwenye course name kuna Driving license na professional driving manake nini hizo options kuwepo pale??Professional qualification ni professional za field aliesomea kwa mfano watu wa accounts watajaza CPA, watu wa procurement watajaza CPSP etc, kitu kama hicho
Msala utakuja hapa mkuu vyuo vya mtaani havijawekwa kwenye system. Pale pana board ambazo zinatambuliwa na serkali (Zaidi). Ambapo kwa mambo ya udereva kuna VETA na NIT.Ivi mm mfano nimepiga bachelor in logistics....ila pia nina chet cha driving nilichosoma mtaani tuu sio veta na nina licence. Nikiweka kweny professional taarifa za udereva kwanza naatach chet cha driving au driving licence?? Pili je natambulika kama ni professional driver au natambulika kama logistics n transport officer??
Nawaza kua isije kua naonekana nimebobea kwenye driving kumbe mm driving ni minor tuu kwaajili ya kujazia CV yangu ya career yangu ya logistics n transport officer.
Naomba majibu sorry kwa muandiko mbayaa.
Msala utakuja hapa mkuu vyuo vya mtaani havijawekwa kwenye system. Pale pana board ambazo zinatambuliwa na serkali (Zaidi). Ambapo kwa mambo ya udereva kuna VETA na NIT.
Ila nahisi kuna namna nyingine. Manake wengi wamesomea mtaa tu.
Yes!! Boss na maengineer wapo huko huko. Katika ile option pale kuna VETA, NIT, kwenye course name kuna Driving license na professional driving manake nini hizo options kuwepo pale??
Af pia hivi udereva tuna ucategorize vipi?? Kama Academic au Professional??
Ipo category inayosema OTHERS so nime pick iyo others nikaweka driving licence nikaatach na chet changu cha mtaani .Msala utakuja hapa mkuu vyuo vya mtaani havijawekwa kwenye system. Pale pana board ambazo zinatambuliwa na serkali (Zaidi). Ambapo kwa mambo ya udereva kuna VETA na NIT.
Ila nahisi kuna namna nyingine. Manake wengi wamesomea mtaa tu.
Hahahaha usirahisishe saaaaana dereva aliesoma veta na aliesoma chuo cha mtaani kitaaluma wanatambulika tofauti. Kaz zikijaga zile za mkazo wanasema uwe na chet cha VETA au Cha NIT. Sasa ukipeleka cheti cha victoria driving school lazma wakukatae. Ni vinatambulika na VETA but hawana maana kua ndo VETA mkuu.Hivyo hivyo vyuo vya mtaani vinakuwa vimesajiliwa na VETA kutoa hayo mafunzo kwa hiyo kama ni kujaza udereva uliosomea katika Chuo kingine kilichosajiliwa na VETA unajaza tu VETA nadhani inakuwa haina shida kiongozi.
Hapa naona kujisajili hii ajira portal umekuwa ugonjwa wa taifa juz nmehangaishwa na dada flani siku nne mfululizo nikimuelekeza umiza sana kichwa na mim uwa sikubali kushindwa kumbe watu wa procurement wana maboard yao wanabidi wakajisajili na yeye bado ajajisajili yupo ananihangaisha tuwaungwana habari za asubui, natumai wazima wa afya. Ninaitaji kujaza cheti cha basic driving course kwenye system ya ajira portal sasa sehemu ya educational level nikiweka cerficate na institutional name najaza other alafu sehemu ya kuattach cheti naattach kama kawaida sasa kimbembe kinakuja kwenye kujaza programme category hakuna option ya kuchagua upande wa basic driving certificate mana nimejaribu kujaza transport and logistics hainipi option yoyote yakuendana na mambo ya udereva.
Pia niliwapigia utumishi wakaniambia niattach cheti cha awali cha mafunzo ya udereva yaani basic certificate kwenye academic qualifications hili neno la failed lisitokee kwa maana kabla nikiapply kazi ya udereva ilikuwa inaandika failed. basi wadau kama kuna mtu yeyote mwenye uelewa wa hii inshu anisaidie hili nijaze nitume mana mwisho ni kesho.
mkuu wala usiangaike mwambie aende kwenye ofisi zao za bodi ya manunuzi kwa watu wa manunuzi hawana longolongo ni registration tu ndo inayotakiwa tofauti na waasibu mpaka upate CPA ila uyo dada aende akajiandikishe then aweze kujaza iyo ajira portalHapa naona kujisajili hii ajira portal umekuwa ugonjwa wa taifa juz nmehangaishwa na dada flani siku nne mfululizo nikimuelekeza umiza sana kichwa na mim uwa sikubali kushindwa kumbe watu wa procurement wana maboard yao wanabidi wakajisajili na yeye bado ajajisajili yupo ananihangaisha tu