city center
JF-Expert Member
- Jun 27, 2018
- 212
- 272
inambona ni simple sana, tumia pc
asante sana mkuumbona ni simple sana, tumia pc
Tatizo hilo wanalo, tena ni baada ya kubadili system yao, wamekuwa hovyo sn malalamiko yamekuwa mengi toka kwa watu mbalimbaliHabari zenu waungwana wenzangu.
Nina takribani miaka mitatu sijaingia huku Ajira Portal, leo nimejaribu kuapply naambiwa application failed nicheki requirements. Wakiwa na maana kwamba sina sifa kwa hiyo nafasi iliyotangazwa, nimejaribu kama mara nne nafasi tofauti kote inagoma cha ajabu nafasi zote hizo sifa ya mwombaji wametaja moja tu ambayo ni Bachelor Degree tena na course yangu imetajwa.
Labda kuna mahali nakosea au kuna mabadiliko katika utumaji wa maombi. Naombeni msaada wenu ndugu zangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
HongeraHuko portal nimekusahau kabisa
___Mjini kuna wambeya___
Habari zenu waungwana wenzangu.
Nina takribani miaka mitatu sijaingia huku Ajira Portal, leo nimejaribu kuapply naambiwa application failed nicheki requirements. Wakiwa na maana kwamba sina sifa kwa hiyo nafasi iliyotangazwa, nimejaribu kama mara nne nafasi tofauti kote inagoma cha ajabu nafasi zote hizo sifa ya mwombaji wametaja moja tu ambayo ni Bachelor Degree tena na course yangu imetajwa.
Labda kuna mahali nakosea au kuna mabadiliko katika utumaji wa maombi. Naombeni msaada wenu ndugu zangu.
Sent using [URL='http://r.tapatalk.
Unakuta unafanikisha alafu muda was deadline umepita
Nimekwamia hapa na mimi kwa kweli , Tena leo hii , Mwenye kujua hili suala. Hii screen inaendelea kuwepo hata baada ya kumaliza kujibu maswali na ku-save. Na hata nikijaribu kuapply kazi narudishwa hapa kwamba sijaweka NIN. Msaada. Natumia PC
View attachment 1446967
umetumia pc?Nimefanikiwa
sikia ndg yangu sijajua uko wapi?kama uko dar nenda pale kivukoni ukifika ulizia ofisi za utumishi wata kuelekeza ziko wapi?ila kwa jibu la haraka haraka ukitaka kuweka ( NIN) yako kwenye ukurasa wako ktk utumishi inabidi upate line yenye mtandao wenye nguvu utaona fasta na utajikuta unacheka mwenyewe na kuona ulikuwa unapoteza mda bureeee.Habari wakuu?
Najaribu kuweka namba ya NIDA katika account yangu ya Ajira Portal lakini inaishia ku-load bila mafaninikio.
Mara ya nne leo inazunguka tu na kuniambia 'please wait'
Naomba msaada.
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio nimetumia PC. Nilichokuwa namiss ni kuwa Kuna button mbili za kusave, mimi nilikuwa na-click moja tu badala ya zote mbili.umetumia pc?