Andy Da Inc
Senior Member
- Mar 2, 2015
- 134
- 229
Kwema wadau?,mimi binafsi n mpenz wa gari zenye uwazi kwa juu (sun roof),
Naomba kujuzwa kama hiz aina zina changamoto zozote ktk hilo paa,km inshu za kuvuja na mengineyo,je kuna namna ya kurekebisha shida za sunroof?
Asanteni
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Naomba kujuzwa kama hiz aina zina changamoto zozote ktk hilo paa,km inshu za kuvuja na mengineyo,je kuna namna ya kurekebisha shida za sunroof?
Asanteni
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app