Andy Da Inc
Senior Member
- Mar 2, 2015
- 134
- 229
Zinatabia ya kuvuja sana pia kioo kikivunjika au raba ikichoka, sio rahisi kuvipata aisee, kioo unaweza kuchonga ila sasa raba banaaaaa....na ukiipata bei yake imechangamka vibaya mno.Kwema wadau?,mimi binafsi n mpenz wa gari zenye uwazi kwa juu (sun roof),
Naomba kujuzwa kama hiz aina zina changamoto zozote ktk hilo paa,km inshu za kuvuja na mengineyo,je kuna namna ya kurekebisha shida za sunroof?
AsanteniView attachment 1597146
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Asante sana mkuuZinatabia ya kuvuja sana pia kioo kikivunjika au raba ikichoka, sio rahisi kuvipata aisee, kioo unaweza kuchonga ila sasa raba banaaaaa....na ukiipata bei yake imechangamka vibaya mno.
Nataka nipande nifikie iko kiwango,au hujapenda mkuu?Duh kama unaulizia mambo ya kuvuja kwa sun roof inaeleka kabisa wewe siyo mtu wa hicho kiwango, bora ubakie huku huku chini usilazimishe, ...
Nataka nipande nifikie iko kiwango,au hujapenda mkuu?
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kwa hyo nafsi yako imerizika nami nifike iko kiwango au?,maana naona kinyoooonge sanaSawa, ukishafikia wala hautauliza hilo swali, hata hivyo kila la heri, ...
Kwa hyo nafsi yako imerizika nami nifike iko kiwango au?,maana naona kinyoooonge sana
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
JilipueKwema wadau?,mimi binafsi n mpenz wa gari zenye uwazi kwa juu (sun roof),
Naomba kujuzwa kama hiz aina zina changamoto zozote ktk hilo paa,km inshu za kuvuja na mengineyo,je kuna namna ya kurekebisha shida za sunroof?
Asanteni
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app