Ukinywea nyumbani mama hatakuruhusu ufike sehemu unasahau kuwa uko bar!Haya mambo ya kuwaambia watu wanywee nyumbani, ukilewa unaweza kumshika beki tatu tako mkeo akiuliza unafanya nini? Unajibu kwani we ndo meneja wa hii bar?
tunaokunywa Kisha pombe zikakimbilia kichwa Cha chini safari hii tumepatikana nawaambia.
[emoji855][emoji855]
Sent using Jamii Forums mobile app
yaani wale wanaolewa halafu wakaona bar nzima na watu wote waliopo ndani ni watoto wao Cha Moto wanakiona.Ukinywea nyumbani mama hatakuruhusu ufike sehemu unasahau kuwa uko bar!
Sent using Jamii Forums mobile app
ohooo !!