Buza Kwa Mpalange
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 268
- 156
Hatimaye TTCL wameanza kukosa ubunifu kabisaaa
👉Now wapowapo tu ubunifu ni 0.05%. Badala ya kuumiza kichwa kuboresha huduma, wameenda kumsainisha Nandy kwenye lebo yao ya Rudi Nyumbani Kumenoga ili wazurure kufanya shoo mikoani.
👉Unapiga menyu yao ya kuangalia salio. Ujumbe unakuja kuletewa masaa mawili mbele au usipate kabisa.
👉Mteja kwao wanatuona fala tu. Ukipiga simu ni mwendo wa Ok, yes, poa, rudinyumbani kumenoga
👉Mb zinaisha fasta mpaka basi
👉Vocha ni janga la kitaifa
Hazipatikani ng'ooo yaani unaweza ukazitafuta kwenye maduka hata 30 na ukaja kuzikosa kabisa.
👉Now wapowapo tu ubunifu ni 0.05%. Badala ya kuumiza kichwa kuboresha huduma, wameenda kumsainisha Nandy kwenye lebo yao ya Rudi Nyumbani Kumenoga ili wazurure kufanya shoo mikoani.
👉Unapiga menyu yao ya kuangalia salio. Ujumbe unakuja kuletewa masaa mawili mbele au usipate kabisa.
👉Mteja kwao wanatuona fala tu. Ukipiga simu ni mwendo wa Ok, yes, poa, rudinyumbani kumenoga
👉Mb zinaisha fasta mpaka basi
👉Vocha ni janga la kitaifa
Hazipatikani ng'ooo yaani unaweza ukazitafuta kwenye maduka hata 30 na ukaja kuzikosa kabisa.