april june
Member
- Jul 6, 2016
- 8
- 1
Habari za usiku wakubwa.
Naomba Tanroads kwa kushirikiana na NSSF waangalie namna nzuri kwa wakazi wa darajani wakati wa kuvuka barabara kwenda upande wa pili baada ya kushuka kwenye daladala.
Kama umetembelea daraja la kigamboni au ni mkazi wa darajani utakuwa unalifahamu ili swala.
Hakuna alama sahihi za kuwafahamisha watumiaji wa magari kuwa ni eneo la kuvuka bali watu wenye magari wanatumia tu busara zao katika kuzingatia watembea kwa miguu wanaovuka baada ya kushuka kwenye usafiri wa daladala.
Nadhani ingeangaliwa namna nzuri ya kuweka alama maana kuna watoto wadogo wanavuka na watu wengine wenye matatizo mbalimbali, na ukizingatie ni umbali mrefu kutoka upande mmoja wa daraja mpaka upande mwingine.
Nawasilisha.
Naomba Tanroads kwa kushirikiana na NSSF waangalie namna nzuri kwa wakazi wa darajani wakati wa kuvuka barabara kwenda upande wa pili baada ya kushuka kwenye daladala.
Kama umetembelea daraja la kigamboni au ni mkazi wa darajani utakuwa unalifahamu ili swala.
Hakuna alama sahihi za kuwafahamisha watumiaji wa magari kuwa ni eneo la kuvuka bali watu wenye magari wanatumia tu busara zao katika kuzingatia watembea kwa miguu wanaovuka baada ya kushuka kwenye usafiri wa daladala.
Nadhani ingeangaliwa namna nzuri ya kuweka alama maana kuna watoto wadogo wanavuka na watu wengine wenye matatizo mbalimbali, na ukizingatie ni umbali mrefu kutoka upande mmoja wa daraja mpaka upande mwingine.
Nawasilisha.