Changamoto zipi zinazowakabili vijana wajasiriamali

Changamoto zipi zinazowakabili vijana wajasiriamali

Freelancer

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
2,965
Reaction score
2,147
Nafanya qualitative research na ningependa kupata data humu ndani kwa Magreat Thinker. Nataka kupata maoni ya vijana wajasiriamali. Ni changamoto zipi huwa wanakumbana nazo katika biashara wakiwa kama vijana. Swali lako halipo specific. Chochote tu kile ambacho unaona ni kikwazo katika growth ya biashara yako unaruhusiwa tu kukitaja.

NB: Watu wenye akili za mbilimbi naomba mpite tu kimya kimya. Sitaki comment za upuuzi:teeth:
 
Nafanya qualitative research na ningependa kupata data humu ndani kwa Magreat Thinker. Nataka kupata maoni ya vijana wajasiriamali. Ni changamoto zipi huwa wanakumbana nazo katika biashara wakiwa kama vijana. Swali halipo specific. Chochote tu kile ambacho unaona ni kikwazo katika growth ya biashara yako unaruhusiwa tu kukitaja.
 
Mkuu Freelancer biashara nyingi Afrika zinakufa mwaka mmoja baada ya uanzishwaji na nyingine miaka mitano. Wajasiriamali wengi wanafata mkumbo wakati wa kuanzisha badala ya kufanya tathmini, wanakutana na changamoto nyingi ndani ya biashara ambazo kama wangekua makini wangeziona kabla hata ya kuanza biashara yenyewe. Mwingine anauliza biashara gani inalipa kwa sasa bila kua na uelewa au ubunifu wowote kwenye biashara husika anaingia mzima. Peak ya biashara ikishuka ni ngumu sana kwa muhusika kubaki kwenye biashara kama hakutengeneza mpango wa kubaki.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Freelancer biashara nyingi Afrika zinakufa mwaka mmoja baada ya uanzishwaji na nyingine miaka mitano. Wajasiriamali wengi wanafata mkumbo wakati wa kuanzisha badala ya kufanya tathmini, wanakutana na changamoto nyingi ndani ya biashara ambazo kama wangekua makini wangeziona kabla hata ya kuanza biashara yenyewe. Mwingine anauliza biashara gani inalipa kwa sasa bila kua na uelewa au ubunifu wowote kwenye biashara husika anaingia mzima. Peak ya biashara ikishuka ni ngumu sana kwa muhusika kubaki kwenye biashara kama hakutengeneza mpango wa kubaki.
Kwa hiyo ku summarize ulichosema ni kwamba there is lack of innovation and proper market research?
 
Japokuwa wajasiriamali tupo wengi ila naamini vijana tunapata ugumu ktk nmitaji zaidi kuliko MASOKO kwani vijana tunajikuta tunaendesha kampuni zinazozalisha unga,lkn hata kama una mtaji mdogo lkn benki haziwezi kukukopesha g mpaka waone umeweza kuendesha kampuni kwa miaka 2 au hata zaidi ss hawatusaidiii kwa hiyo tanzania imeshindwa kusaidia vijana labda tujisaidie wenyewe lkn hoi ndio inapunguza sana ajira nchini haswa tanzania /hapa nyumbani lkn serikali ikiweka mazingira mazuri vijana tutanufaoika sana..mwaka 2015/2020 .
 
Japokuwa wajasiriamali tupo wengi ila naamini vijana tunapata ugumu ktk nmitaji zaidi kuliko MASOKO kwani vijana tunajikuta tunaendesha kampuni zinazozalisha unga,lkn hata kama una mtaji mdogo lkn benki haziwezi kukukopesha g mpaka waone umeweza kuendesha kampuni kwa miaka 2 au hata zaidi ss hawatusaidiii kwa hiyo tanzania imeshindwa kusaidia vijana labda tujisaidie wenyewe lkn hoi ndio inapunguza sana ajira nchini haswa tanzania /hapa nyumbani lkn serikali ikiweka mazingira mazuri vijana tutanufaoika sana..mwaka 2015/2020 .
Asante mkuu. Very informative. Ngoja nipate mawazo zaidi
 
Tukiachana na masoko pamoja na mitaji,pia changamoto zinazotukabili ni mfumo mzima wa elimu finyu ya biashara NA mawasiliano ili tuweze kupata taarifa za mapato ya soko huria hapa dar es salaam,NA mikoani pia lkn moja ya sifa za MJASIRIAMALI ni kuondoa uoga na kufanya kazi kwa bidii zaidi ila tunahitaji booster. Ktk mabenki ili tujipanue na kutengeneza wigo mpana wa biashara nchini kwetu hapa tanzania..
 
Tatizo la masoko. Wajasiliamali kugombania wateja waliopo. Kingine sera mbovu za nchi. Unakuta nchini bidhaa kama mahindi hayanunuliki wakati nchi jirani wanahitaji kwa bei nzuri, lakini wajasiliamali wanazuiliwa kwenda kuuza nje ya nchi
 
Kingine ni cashflow management, hii ni,shida,sana kwa sisi vijana,wengi na ndo maana unakuta bank nyingi haziwezi kutupa mkopo. Yes sisi twajishughurisha saaana na ujasiriamali
 
TRA ni kikwazo sana hasa kwa mjasiriamali anayeanza maana unatakiwa kulipa kodi kabla ya kuanza. hii kitu inasikitisha sana
 
Tatizo la masoko. Wajasiliamali kugombania wateja waliopo. Kingine sera mbovu za nchi. Unakuta nchini bidhaa kama mahindi hayanunuliki wakati nchi jirani wanahitaji kwa bei nzuri, lakini wajasiliamali wanazuiliwa kwenda kuuza nje ya nchi

Mfano ukiamua kuusaga unga kisha ukaupaki kabisa. Bado utazuiwa kuusafirisha nje?
 
Mfano ukiamua kuusaga unga kisha ukaupaki kabisa. Bado utazuiwa kuusafirisha nje?

Kuna vitu wanaita Import permit kutoka kule unapotaka kupeleka, export permit toka Tanzania, na inspection permit. To get all these is not a Joke
 
Kuna vitu wanaita Import permit kutoka kule unapotaka kupeleka, export permit toka Tanzania, na inspection permit. To get all these is not a Joke
Afadhali umekuja mdau. Naomba unipe mtiririko wake. Ku xport inategemea unapeleka nchi gani. Kuna nchi kama South Africa ni ngumu sana.Ila siajua nchi kama Zambia au Malawi kama na kwenyewe ni kugumu hivyo hivyo. Kenya na Ethiopia wana upungufu wa chakula sidhani kama kuna kwere sana kupeleka huko. Ile niiltaka kujua vibali kwa upande wa TZ vinapatikanaje?
 
Back
Top Bottom