Pfizer
JF-Expert Member
- Mar 25, 2021
- 590
- 807
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu pesa hizo hizo za tone tone mnatengeneza commercial badala ya kuzielekeza kwenye matumizi yenye tija.Changia CHADEMA TONE TONE. Nimo, umo, tumo
Tone tone Changia Chadema, 0744446969 Chadema HQ
View attachment 3270804
Unajema bas wewe kunguni wa mama?Halafu pesa hizo hizo za tone tone mnatengeneza commercial badala ya kuzielekeza kwenye matumizi yenye tija.
Mbona maudhui ya tone tone yanafahamika kuwa mnataka michango, nani hajui mpaka apelekewe commercial advert?
Wajanja wameshajipanga kuzipiga. Kwani lazima Godbless Lema awepo kama character? Just thinking aloud
Na wewe ni kunguni wa Lissu au Heche?Unajema bas wewe kunguni wa mama?
Au unakataa sio kunguni basi utakuwa ni papasi wa mamaNa wewe ni kunguni wa Lissu au Heche?
Sema we jamaa Una maisha magumu tangia niwe JF naonaga unalalamika tu.Halafu pesa hizo hizo za tone tone mnatengeneza commercial badala ya kuzielekeza kwenye matumizi yenye tija.
Mbona maudhui ya tone tone yanafahamika kuwa mnataka michango, nani hajui mpaka apelekewe commercial advert?
Wajanja wameshajipanga kuzipiga. Kwani lazima Godbless Lema awepo kama character? Just thinking aloud
Ila watu kama hawa wana umuhimu wao pia.Sema we jamaa Una maisha magumu tangia niwe JF naonaga unalalamika tu.
Je Kazi ya uaskari magereza hailipi wenzako wanalima mchicha ili kujalizia katik....a mshahara
Njaa tu Mimi nachojua maaskari magereza wanalima Sana mboga mboga kujalizia mshahra sasa kama yeye hafanyi hivyo lazima atakuwa anishia kuwa na hasiraIla watu kama hawa wana umuhimu wao pia.
Jambo lolote lina pande mbili, uzuri na mapungufu ...hawa huwa wanaonyesha upande wa mapungufu.
LYENDA,Gwamaka, DjumbeChangia CHADEMA TONE TONE. Nimo, umo, tumo
Tone tone Changia Chadema, 0744446969 Chadema HQ
View attachment 3270804
Tatizo sio upande wa Mapungufu. Tatizo ni matusi. Hawajui kujenga hoja zaidi ya kuwadhalilisha wazazi walio wazaaIla watu kama hawa wana umuhimu wao pia.
Jambo lolote lina pande mbili, uzuri na mapungufu ...hawa huwa wanaonyesha upande wa mapungufu.