Changia CHADEMA TONE TONE. Nimo, umo, tumo

Wasomi wengi walioko CCM wamelisaidia nini taifa hili? zaidi wote wamegeuka kuwa machawa na walamba viatu ili wajiokotee teuzi! Wasomi wa nchi hii hasa hao madokta na maprof ni mizigo wanapojihusisha na siasa..wabaki huko huko vyuoni warithishe vijana maarifa.
 
Chama makini chenye watu makini wenye mawazo makini ya kututengenezea taifa makini.

Hongereni CHADEMA kwa ubunifu. Tunachangia na tutachangia.
 
Mnielekeze utaratibu wa kuchangia kwa Mpesa au Airtel money.
 
Kumbe unajua wanamaarifa? Ndomana nawasihi chadema wawashawishi wakakijenge chama chao...
Hao waliopi kwenye mfumo ulochafuka mm sijawaongelea...
 
Chama makini chenye watu makini wenye mawazo makini ya kututengenezea taifa makini.

Hongereni CHADEMA kwa ubunifu. Tunachangia na tutachangia.
Watu na mahaba mko vuzuri , sasa apo kimebuniwa nini kwa mfano. Ujinga hauwezi kuisha ikiwa watu wanaotegemea ndio kina nyie mulete mabadilko ya kifikra mmekuwa mavuvuzela .
 
Watu na mahaba mko vuzuri , sasa apo kimebuniwa nini kwa mfano. Ujinga hauwezi kuisha ikiwa watu wanaotegemea ndio kina nyie mulete mabadilko ya kifikra mmekuwa mavuvuzela .
Kabla ya kuita huo ujinga jiulize nyie CCM mmeshawai kufanya kitu kama icho?

Nyie mmekalia kuiba hela za Serikali na kutisha wafanyabiashara ndo mnasema CHADEMA hawana ubunifu. Nyie mna ubunifu gani?
 
Hata Mafisadi wakichangia Kuna shida?
Hatutaki fedha za Mafisadi zilizoporwa Serikalini. Fedha zenye Baraka ni hizi hizi 500 1000 ambazo Watanzania wanazitoa kutokea mioyoni mwao hao ndio wenye uchungu na nchi yao.
 
Kabla ya kuita huo ujinga jiulize nyie CCM mmeshawai kufanya kitu kama icho?

Nyie mmekalia kuiba hela za Serikali na kutisha wafanyabiashara ndo mnasema CHADEMA hawana ubunifu. Nyie mna ubunifu gani?
Kitu gani ? Yaani kijicommercial cha hovyo unaona bonge la ubunifu, kama wewe ndio mpiga debe wa chadomo bora yule nyumbu erycr..mara elfu kamanda umefail big time mahaba yamepitiliza unasifia hadi mavi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…